Diwani Unga Ltd
Senior Member
- Oct 12, 2013
- 149
- 70
Baada ya siku 4 tangu CHADEMA kupitia kwa mwenyekiti mstaafu wa BAVICHA taifa ndg John Heche akiongozana na katibu wa kanda maalum ya Kinondoni HENRY KILEO kufanya mkutano mkubwa wa hadhara siku ya Jumamosi tarehe 18 Oct 2014 katika mji mdogo wa Sirari ulioko mpakani mwa Kenya kuwaelimisha wananchi kuhusu namna ya kushiriki katika ujenzi wa maabara wakitahadharisha Kiwango kikubwa cha michango kinachotozwa na serikali ya kata kati ya tsh 100000-67000 kwa kaya kuwa sio sahihi kwani mgodi wa North Mara ulitoa tsh 1.9 b kwa ajili ya kusimamia mapungufu ya maabara hizo.
Kwa mapokeo hayo yaliyoichanganya CCM Yamesababisha diwani wa kata ya Sirari AMOS SAGARA kutaka kujibu mapigo kwa kuilinda serikali isinangwe naye akaitisha mkutano akijaribu kupinga hoja hizo
Yaliyotokea ni kuambulia zomeazomea ya hali ya juu.
Kwa mapokeo hayo yaliyoichanganya CCM Yamesababisha diwani wa kata ya Sirari AMOS SAGARA kutaka kujibu mapigo kwa kuilinda serikali isinangwe naye akaitisha mkutano akijaribu kupinga hoja hizo
Yaliyotokea ni kuambulia zomeazomea ya hali ya juu.