Ada ya vyuo vya ualimu vya serikali ni Tshs 600,000/- kwa mwaka. Ila kuna michango mingine ya Chuo isiyopungua laki moja. Kimsingi mandhari pako poa Chuo kipo mjini na hali ya hewa ya Tarime ni nzuri greenish sana. Karibu sana TarimeWanajamii ndugu yangu amechaguliwa chuo cha Tarime Teachers Collage Astashahada elimu ya awali sasa nilikuwa nauliza mwisho wa kuhakiki na vp kuhusu ada serikali kuna kaunafuu kanawapatia au ndo mzazi akomae,,,na vp mandhari
Ahhhh vp kuhusu suala la kuhakikiAda ya vyuo vya ualimu vya serikali ni Tshs 600,000/- kwa mwaka. Ila kuna michango mingine ya Chuo isiyopungua laki moja. Kimsingi mandhari pako poa Chuo kipo mjini na hali ya hewa ya Tarime ni nzuri greenish sana. Karibu sana Tarime