Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
TARIME: Askari Polisi mwenye namba E. 1156 William Marwa amefikishwa mahakamani leo akikabiliwa na shtaka la mauaji ya Suguta Chacha ambaye ni mdogo wa Mbunge John Heche.
Mshtakiwa huyo amesomewa kesi ya mauaji namba PI 76/2018 mbele ya Hakimu A.R Kahimba leo Aprili 30.
Askari huyo anayedaiwa kutenda kosa hilo mnamo Aprili 27, 2018 hakutakiwa kujibu kitu chochote kwani mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo.
Chanzo: Mwananchi
Mshtakiwa huyo amesomewa kesi ya mauaji namba PI 76/2018 mbele ya Hakimu A.R Kahimba leo Aprili 30.
Askari huyo anayedaiwa kutenda kosa hilo mnamo Aprili 27, 2018 hakutakiwa kujibu kitu chochote kwani mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo.
Chanzo: Mwananchi