GE2025 Tarimba: Wananchi ndio wenye mamlaka yakutoa viongozi

GE2025 Tarimba: Wananchi ndio wenye mamlaka yakutoa viongozi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kinondoni kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tarimba Gulam Abbas, amesema wananchi ndio wenye mamlaka ya kuchagua viongozi wanaowataka kwa ajili ya maendeleo yao.

Akihutubia wananchi wa Kata ya Hanasif katika kampeni zake leo Septemba 19, 2025, Tarimba amesema:

“Katika Jamhuri yetu ya Muungano wa Tanzania, sisi Watanzania tumekubaliana kwamba wananchi ndio watakaotoa viongozi. Viongozi ambao tutawatuma wakatifanyie kazi ambazo katika hali ya kawaida nyie na mimi hatuwezi tukazifanya kwa ubinafsi wetu...”​

 
Back
Top Bottom