Tariffs za TANESCO zipoje?

Hilo neno kaka.Maana mambo ya barua ni suala ambalo linachukua muda mrefu.binafsi nimeandika barua miaka minne nyuma kwa meneja ws tanesco temeke hado hii Leo hamna majibu naendelea kuumia.niko kigamboni
 
Na vile vile napenda kujua kama mita ya zamani ina deni ni aslimia ngapi wanakata kila unaponunua umeme
Hilo neno kaka.Maana mambo ya barua ni suala ambalo linachukua muda mrefu.binafsi nimeandika barua miaka minne nyuma kwa meneja ws tanesco temeke hado hii Leo hamna majibu naendelea kuumia.niko kigamboni
 
haupo tena
kwa mwaka 2016 post hii ilipowekwa kulikuwa na makato kibao km service levy kodi nk
Rais akafuta mengi na hata Mkurugenzi wa TANESCO enzi hizo Bw Mramba alisimamishwa kazi kwa kung'ang'ania madeni hayatalipika
umeme sasa ni Unit 75KWH kwa sh 9,150/ tu, huko tunakoenda (Stigler gorge) utapungua zaidi kwani hatuwezi wauzia Nchi jirani wao wawe bei ya chini kuliko sisi wazalishaji
na umeme haukatiki bila Taarifa
 


Kwa nini wengine wakitoa Tshs 10,000/= wanapata umeme mwingi kuliko mimi?
Bei ya umeme inatofautiana kutokana na kundi la matumizi mteja alilopo mfano Matumizi Madogo ya nyumbani (D1) ambao wanatumia umeme wa majumbani ambao matumizi yao ni wastani wa KWh 75 kwa mwezi wananunua umeme uniti moja kwa Tsh 100 (bila kodi) endapo watazidi hapo kila unit watatozwa Tsh 350 (bila kodi), Lakini wateja wa kundi la matumizi ya kawaida (T1) Kundi hili hujumuisha wateja wenye matumizi ya kawaida ya umeme hususani watumiaji majumbani, biashara na viwanda vidogo, taa za barabarani na mabango - wananunua umeme Unit moja Tsh 292 (bila kodi), kundi hili linatumia kuazia unit 75-7500 kwa mwezi. Hivyo kutofautiana kwa kundi la matumizi ndicho kinachopelekea wateja kupata unit tofauti kwa kiasi kilekile cha pesa.


Kwa nini wengine wakitoa Tshs 10,000/= wanapata umeme mwingi kuliko mimi?
Bei ya umeme inatofautiana kutokana na kundi la matumizi mteja alilopo mfano Matumizi Madogo ya nyumbani (D1) ambao wanatumia umeme wa majumbani ambao matumizi yao ni wastani wa KWh 75 kwa mwezi wananunua umeme uniti moja kwa Tsh 100 (bila kodi) endapo watazidi hapo kila unit watatozwa Tsh 350 (bila kodi), Lakini wateja wa kundi la matumizi ya kawaida (T1) Kundi hili hujumuisha wateja wenye matumizi ya kawaida ya umeme hususani watumiaji majumbani, biashara na viwanda vidogo, taa za barabarani na mabango - wananunua umeme Unit moja Tsh 292 (bila kodi), kundi hili linatumia kuazia unit 75-7500 kwa mwezi. Hivyo kutofautiana kwa kundi la matumizi ndicho kinachopelekea wateja kupata unit tofauti kwa kiasi kilekile cha pesa.
 
Uzi mzuri sana huu. Umenifungua sana japo ni wa muda
 
Uzi mzuri sana huu. Umenifungua sana japo ni wa muda
Uzi upo vizuri Sana! Mimi nauliza nikitaka kujua kwa wastani kwa mwezi ninatumia unit ngapi ninafanyeje? Ili niweze kujiridhisha na tariff niliyonayo kwa Sasa.
 
Uzi upo vizuri Sana! Mimi nauliza nikitaka kujua kwa wastani kwa mwezi ninatumia unit ngapi ninafanyeje? Ili niweze kujiridhisha na tariff niliyonayo kwa Sasa.
Mkuu nadhan hapo mpaka wabobevu. Mie natumia remont tu kujua idadi ya unit nilizonazo
 
Juzi nimemwona mtu akipata unit 14 kwa sh. 5000/=, nyumba yake haina friji, pas wala jiko la umeme. Anatumia single fase. Inakuwaje hii?
 
Unafanyaje
006 naweka ok. Sasa hii inakupa idadi ya unit zilizo akia ila mm nachofanya nanunua umeme then nahifadhi tarehe husika mpaka mwisho wa mwez naangalia nimetumia au zmebaki ngap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…