Mimi nilishawakimbia, siku hizi nipo ACT~Tanzania...nakula Asali na Maziwa...baki zenu na NGO ya Mtei na Mbowe. Eti bajeti pia tuweke pensheni na posho za Muasisi wa Chama ndugu Mtei, kila mwezi najiuliza Tshs. 3 Milioni zinakwenda wapi na hakuna PAYE yeyote inayopelekwa TRA, kumbe Mtei bhana, kisa Muasisi...dah!