Tarifa kwa Umma: Imba Ukombozi


Mimi nilishawakimbia, siku hizi nipo ACT~Tanzania...nakula Asali na Maziwa...baki zenu na NGO ya Mtei na Mbowe. Eti bajeti pia tuweke pensheni na posho za Muasisi wa Chama ndugu Mtei, kila mwezi najiuliza Tshs. 3 Milioni zinakwenda wapi na hakuna PAYE yeyote inayopelekwa TRA, kumbe Mtei bhana, kisa Muasisi...dah!
 
Toka lini mchepuko wa ccm ukawa Chadema? Kawadanganye Fisi siyo waelewa kama sisi
 

tumain mshamfukuza?mana wachaga hamkawii mkiguswa tu mnakuja na ishu ya usalit,hasa ukiulizia ruzuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…