Siasa za Tanzania zimegubikwa na gilba ya maslahi kiasi kwamba mwanachama wa CHADEMA anaweza kuhamia CCM ikiwa malengo yake fulani ya yatatimia. Anaweza kuhama CUF kuhamia ACT ikiwa kuna fursa ya kupata madaraka na sehemu aliko wamesheheni watu wengi hivyo kupata cheo mtiti wake sio kitoto.
Ndio maana tukahitaji MGOMBEA BINAFSI ihuhishwe kusudi kuepusha unafiki wakutumikia chama cha kibepari miaka 10 ukilipwa mishahara na posho, na unaamia chama cha kijamaa nakudai sasa upo chama kinachoendana na mtazamo wako.
Hizi RUZUKU sharti masharti yaongezwe au zipungue, nasikia hata chama cha Dovutwa kila mwezi anapokea kalaki tisa kutokana na KODI ZETU WANANCHI