Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 6,204
- 6,550
Wanataka kuiangusha dola etiMsingi wa kuandamana ulikua Nini..
Wote mliondamana skuile.wengi mna mattzo ya kisaikolojia na wengine wengi wafuata mikumbo,
Siku mattzo hasa ya vijana wa nchi yatakapowekwa kwenye agenda ndio sku utajua kumbe watu sio waoga,
Mtu mwenye tafakuri hawez kutoka tu kuandamani kisa agenda za heche,maria sarungi na mange kimambi,
Vijana wa kitanzania Wana mttzo Yao mengi siku yakiwa mbele kama agenda ya maandamano utawaona wengi barabarni