1.unakakiwa ukate bima
2.inatakiwa drtla
3.tin
4.gharama za kuchapisha tiketi
5.kushona uniform za driver na utingo
6.kusajili njia
7.gharama za kupiga mkanda wa rangi
8.kujenga seat;kupiga bomba kwa ndani (itategemea aina ya daladala uliloagiza)
9.service ya mwanzo hasa tairi muhimu kubadili.
10.pesa ya trafic
11.sumatra