😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂sawa mkuuAnza kujisomea dogo.. Uzoefu utaupata uko ukoView attachment 1115169
Iko TARAKEA WILAYA YA ROMBO, Iko mpakan na Kenya, kuna baridi sana, mazingira ni Mazur kama kawaida ya KilimanjaroHabari wakuu
Nmechaguliwa tarakea high school iliopo Kilimanjaro mchepuo wa pcm
Kwa waliosoma hapo na wanao ijua naomben uzoefu kuhusu mazingira