Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
hivi kumbe miraji ama riziwani ukiwa rafiki yake umewini?
WADAU WOTE
:hat:
TAFADHALINI HUSIKENI NA KICHWA HUSIKA HAPO JUU
KUNA HUYU JAMAA ANAITWA SHEIKMOUN HALAHALA AL-MAARUFU KAMA HALA HABIB.
HUYU JAMAA ANAJUANA NA MIRAJI NA RIZ1 HIVYO BASI HUTUMIA MWANYA HUO KUTAPELI WATU
HAPA MJINI. KUNA DADA MMOJA ALILIZWA USD 14,000/= KUNA MWINGINE 7,000/= NA WENGI NIKIWAMO MIMI
DOLA MIA 3. ANAJIFANYA ANACONNECTION YA KITU CHOCHOTE UNACHOTAKA KUFANYA AMA KUNUNUA.
MARA ANJIFANYA ANANUNUA MAGARI JAPAN, MARA CHINA, HONKONG NK. NI KWELI ZAMANI WAKATI YUKO NJEMA
ALIKUWA ANAFANYA HAYO ANAYOYASEMA ILA KWA SASA HANA KITU NDIO KAAMUA KUWA TAPELI.
ANAKAA KAWE NA NAMBA YAKE YA SIMU NI +255689 000222.
TAHADHARI KABLA YA HATARI YASIJE KUKUKUTA MJINI HAPA.
NAWASILISHA WADAU.:spy:
unajua watu wengine wa 0713 kama wewe unamualibia mtu jina kisa kamchukulia dem wake au dem kaliwa kwa mkopo nk issue zingine ni chuki kesho yatakukuta hata wewe unaetetea kama katapeliwa si ufala wake na kajuaje watu aliotapeli wengine mpaka kiasi cha pesa acheni utotoWewe ndiye tapeli mtajwa? au una undugu naye?
Kama una uchungu lipa basi hizo pesa ambazo wadau wameshatapeliwa.
sehemu zote nilizoweka red ilitakiwa iwe 'tapeli'................ hapo kwenye green ilitakiwa uandike 'kahadithiwa' mkuu. Ni hayo tu.Sikiaaa... Wajua Jamaa kaja kisiasa zaidi kwani Kuna Njia nyingi za Utaperi sasa yeye kaja na Kashfa tu ni bora angetaja Alichotaperiwa tukaelewa inawezekana pengine kataperiwa au kaadithiwa tu ndio kajaa JF Kumchafua Jamaa... Mimi sidhani kama kuna Deal la usd 300. kwa kutizama tu usd 300 ununua nini? au ni Consultation fees ya kitu fulani? sasa kama jamaa hajafanikiwa ndio mbio JF Kumsema jamaa kuwa ni Taperi tena ameshamtaperi jamaa flan usd 14,000 na mwingine kadhaa aaah! nini hii kitu
hata ze utamu ndio ilivyokuwa hivi hadi kashfa zikamuendea Mkuu wa Nchi ikafungwa Fasta... na Mod wakiachia hivi basi ujue kuna mtu atakuja Mtaja hadi Raisi kumuibia kitu na Wengi humu watamsapoti ... Ndibalema Stuka..
Asante ila changia Mada halisi. Mimi kwenye Sarufi siwezi badilika kwani kiswahili ni kigumu... nadhani umenielewa Mwanzo Mwisho nina tatizo la r na lsehemu zote nilizoweka red ilitakiwa iwe 'tapeli'................ hapo kwenye green ilitakiwa uandike 'kahadithiwa' mkuu. Ni hayo tu.