ukabu
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 212
- 68
General taya wakuu member tajwa hapo anajiita General taya ni tapeli tena nimuite kibaka humu jamii forum kawa tapeli watu wengi kwa njia ya kuwaijia inbox anawambia kua anawaconect Na VPN mfano your freedom nk ambapo kinachotokea ukishamtafuta anakwambia umtumie Pesa ili akuwekee setting kwenye laptop yako Na time viewer baada ya hapo hutokomea kwa Hyo nawasistiza ndugu kuweni makini Na kibaka hyu na ikiwezekana awekewe mtego akamatwe kwa sababu anadhalilisha forum