Tapatalk ni App inayokuwezesha ku access Forums mbalimbali duniani kwa wakati mmoja, haikuhitaji kuwa na App ya kila forums ukishakuwa na Tapatalk! Cha kufanya ni ku "search" forum unayoitaka na itakuja kisha utalog in moja kwa moja.
Pia Tapatalk tofauti na JF App ni kwamba hii ipo fasta zaidi kwa upande wa ku browse na hata kupokea notifications kwa wakati.
Jamani huo ndio uelewa wangu mdogo kuhusiana na Tapatalk kwa miaka karibia saba sasa nikiwa naitumia