Ni kweli, kwa upande mmoja tunasema pole maana hakuna anayependa kufa. Hata hao mafisadi tusingependa waondoke kwa kufa bali tuwaondoe madarakani wakiwa hai. Mwombee adui yako aishi siku nyingi ili unapobarikiwa ajionee mwenyewe.
Ni kweli tunaomboleza msiba, lakini kwa uoande wa pili tunategemea m4c itie timu muda si mrefu.