Tanzia: Omari Changa hatunae

chakati

Member
Joined
Jul 9, 2013
Posts
27
Reaction score
6
Ni amchezaji wa zamani wa yanga na jkt ruvu.Amefariki baada ya kuvamiwa na kuchomwa na kitu chenye ncha kali maeneo ya jangwani Jana usiku.
 
Ni amchezaji wa zamani wa yanga na jkt ruvu.Amefariki baada ya kuvamiwa na kuchomwa na kitu chenye ncha kali maeneo ya jangwani Jana usiku.

inna lillah wainna ilaih raajiun nampata huyu striker
 
Da imekuaje vibaka au majambazi?,alikuwa mshambuaji wa ukweli enzi zake,alale anapostahili,poleni familia.
 
Da imekuaje vibaka au majambazi?,alikuwa mshambuaji wa ukweli enzi zake,alale anapostahili,poleni familia.

nadhani aliwahi kuchezea Kagera sugar pia, jamaa alikuwa msumbufu sana kwa timu pinzani kwenye ndondo pale Kinesi cup na Lucky rangers cup, apumzike kwa amani.
 
Poleni familia ya wadau wa soka na washabiki wa Yanga na Ruvu... Hakuna japo picha zake?
 
Poleni familia ya wadau wa soka na washabiki wa Yanga na Ruvu... Hakuna japo picha zake?


Omar Changa wa tatu kutoka kushoto waliosimama akiwa na kikosi cha JKT Ruvu​
 
Inna lillah wainna ilaih raajiun
 
Pumzika kwa amani kifaa (Changa)!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…