C chakati Member Joined Jul 9, 2013 Posts 27 Reaction score 6 Feb 2, 2014 #1 Ni amchezaji wa zamani wa yanga na jkt ruvu.Amefariki baada ya kuvamiwa na kuchomwa na kitu chenye ncha kali maeneo ya jangwani Jana usiku.
Ni amchezaji wa zamani wa yanga na jkt ruvu.Amefariki baada ya kuvamiwa na kuchomwa na kitu chenye ncha kali maeneo ya jangwani Jana usiku.
K Kukamido JF-Expert Member Joined Apr 22, 2013 Posts 853 Reaction score 204 Feb 2, 2014 #2 chakati said: Ni amchezaji wa zamani wa yanga na jkt ruvu.Amefariki baada ya kuvamiwa na kuchomwa na kitu chenye ncha kali maeneo ya jangwani Jana usiku. Click to expand... inna lillah wainna ilaih raajiun nampata huyu striker
chakati said: Ni amchezaji wa zamani wa yanga na jkt ruvu.Amefariki baada ya kuvamiwa na kuchomwa na kitu chenye ncha kali maeneo ya jangwani Jana usiku. Click to expand... inna lillah wainna ilaih raajiun nampata huyu striker
W WaKICHOKOCHWE Member Joined Mar 20, 2013 Posts 18 Reaction score 3 Feb 2, 2014 #3 Nchi ya mauwaji hii
muhomakilo jr JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 15,835 Reaction score 14,727 Feb 2, 2014 #4 Da imekuaje vibaka au majambazi?,alikuwa mshambuaji wa ukweli enzi zake,alale anapostahili,poleni familia.
Da imekuaje vibaka au majambazi?,alikuwa mshambuaji wa ukweli enzi zake,alale anapostahili,poleni familia.
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,920 Feb 2, 2014 #5 Apate pumziko la milele.
Heaven on Earth JF-Expert Member Joined Mar 21, 2013 Posts 37,226 Reaction score 26,716 Feb 2, 2014 #6 Rest In Peace yaani hawa vibaka mmh
M Mbudi JF-Expert Member Joined Apr 14, 2013 Posts 597 Reaction score 162 Feb 3, 2014 #7 Pamoja katika majonzi
Ennie JF-Expert Member Joined Jan 15, 2011 Posts 7,137 Reaction score 4,138 Feb 3, 2014 #8 Apumzike kwa amani.
O obwato JF-Expert Member Joined Sep 7, 2012 Posts 1,188 Reaction score 365 Feb 3, 2014 #9 muhomakilo jr said: Da imekuaje vibaka au majambazi?,alikuwa mshambuaji wa ukweli enzi zake,alale anapostahili,poleni familia. Click to expand... nadhani aliwahi kuchezea Kagera sugar pia, jamaa alikuwa msumbufu sana kwa timu pinzani kwenye ndondo pale Kinesi cup na Lucky rangers cup, apumzike kwa amani.
muhomakilo jr said: Da imekuaje vibaka au majambazi?,alikuwa mshambuaji wa ukweli enzi zake,alale anapostahili,poleni familia. Click to expand... nadhani aliwahi kuchezea Kagera sugar pia, jamaa alikuwa msumbufu sana kwa timu pinzani kwenye ndondo pale Kinesi cup na Lucky rangers cup, apumzike kwa amani.
Mphamvu JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 10,702 Reaction score 3,345 Feb 3, 2014 #10 Poleni familia ya wadau wa soka na washabiki wa Yanga na Ruvu... Hakuna japo picha zake?
OLESAIDIMU JF-Expert Member Joined Dec 2, 2011 Posts 19,139 Reaction score 9,574 Feb 3, 2014 #11 Heaven on Earth said: Rest In Peace yaani hawa vibaka mmh Click to expand... Apumzike kwa amani!!!!!! Halafu wewe ni kuwa hujui nakudai au ni ubaradhuli wako tu!!!!
Heaven on Earth said: Rest In Peace yaani hawa vibaka mmh Click to expand... Apumzike kwa amani!!!!!! Halafu wewe ni kuwa hujui nakudai au ni ubaradhuli wako tu!!!!
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,701 Reaction score 13,672 Feb 3, 2014 #12 RIP Omar........
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,356 Reaction score 108,486 Feb 3, 2014 #13 Mphamvu said: Poleni familia ya wadau wa soka na washabiki wa Yanga na Ruvu... Hakuna japo picha zake? Click to expand... Omar Changa wa tatu kutoka kushoto waliosimama akiwa na kikosi cha JKT Ruvu
Mphamvu said: Poleni familia ya wadau wa soka na washabiki wa Yanga na Ruvu... Hakuna japo picha zake? Click to expand... Omar Changa wa tatu kutoka kushoto waliosimama akiwa na kikosi cha JKT Ruvu
DullyJr JF-Expert Member Joined Apr 10, 2011 Posts 13,993 Reaction score 11,871 Feb 3, 2014 #14 R.i.p omar changa
adakiss23 JF-Expert Member Joined Jan 23, 2011 Posts 4,896 Reaction score 5,259 Feb 3, 2014 #15 Inasemekana ni ajali ya bodaboda
Adharusi JF-Expert Member Joined Jan 22, 2012 Posts 14,493 Reaction score 7,417 Feb 3, 2014 #16 watu8 said: Omar Changa wa tatu kutoka kushoto waliosimama akiwa na kikosi cha JKT Ruvu Click to expand... Alikua noma huyu,anapiga miguu yote
watu8 said: Omar Changa wa tatu kutoka kushoto waliosimama akiwa na kikosi cha JKT Ruvu Click to expand... Alikua noma huyu,anapiga miguu yote
Heaven on Earth JF-Expert Member Joined Mar 21, 2013 Posts 37,226 Reaction score 26,716 Feb 3, 2014 #17 OLESAIDIMU said: Apumzike kwa amani!!!!!! Halafu wewe ni kuwa hujui nakudai au ni ubaradhuli wako tu!!!! Click to expand... ahahaa na Dawa ya deni ni kulipa............. ngoja ni do ze nidfull fasta
OLESAIDIMU said: Apumzike kwa amani!!!!!! Halafu wewe ni kuwa hujui nakudai au ni ubaradhuli wako tu!!!! Click to expand... ahahaa na Dawa ya deni ni kulipa............. ngoja ni do ze nidfull fasta
NGULI JF-Expert Member Joined Mar 31, 2008 Posts 4,801 Reaction score 647 Feb 3, 2014 #18 Inna lillah wainna ilaih raajiun
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 59,182 Reaction score 69,695 Feb 3, 2014 #19 Alazwe Anapostahiri O.Changa.
EWGM's JF-Expert Member Joined Jul 22, 2013 Posts 1,521 Reaction score 2,112 Feb 3, 2014 #20 Pumzika kwa amani kifaa (Changa)!!!