nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,732
- 14,141
Tunasikitika kuwahabarisheni kwamba Mzee maarufu kwa jina la Kasongo amefariki dunia.
Mzee Kasongo ni yule mwimbaji maarufu wa kwaya kuu. Ni mmoja wa waanzilishi wa biashara ya taxi Mjini Iringa.
Bwana ametoa, bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe.
Tunawapa pole ndugu wote wafiwa.
Mzee Kasongo ni yule mwimbaji maarufu wa kwaya kuu. Ni mmoja wa waanzilishi wa biashara ya taxi Mjini Iringa.
Bwana ametoa, bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe.
Tunawapa pole ndugu wote wafiwa.