Tanzia: Mke wa muuza chips maarufu Ilala afariki dunia

malikafif84

Member
Feb 6, 2013
37
29
Wakazi wa Ilala Amana tumepatwa na Msiba wa Mke wa muuza chips maarufu kwa jina la Barafaa, Msiba upo nyumbani kwake Mtaa wa Moshi na Mwanza nyumba ambayo anafanyia biashara yake ya chips.
 
Poleni sana wakuu...Mungu awape moyo wa uvumilivu katika kipindi hiki kigumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…