mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 19,043
- 37,243
Ni kitu kzuri sana sababu alikuwa ana distrub ecosystems so kufa kwakwe kumesababisha balance of nature
Ni kitu kzuri sana sababu alikuwa ana distrub ecosystems so kufa kwakwe kumesababisha balance of nature
Nani kakwambia mm ni mwafrica?Waafrika hatuachi asili yetu. Ngoja siku ufiwe na ndugu mfululizo hlf utuhumiwe umewatoa kafara ndo utaijua vizuri hii dunia.
Una mawazo ya mwafika ambae hataki kubadilika. Mwenye mawazo hasi siku zote.Nani kakwambia mm ni mwafrica?
Ahahaaaah...Du Bonge la Pigo kwa Zari.. Kaondokewa na Ivan Mpenzi wake wa Moyoni na Ameondokewa na Mama Mzazi Duu... Kwa kweli Mungu Amtie Nguvu sana huyu Mdada aisyekuwa na Makuu.. Ila Dimond has to Change sasa awe Mwanaume atoke kwenye Uvulana ili ajue jinsi ya Kuishi Kama Mwanaume na siyo Kuendelea Kuishi Kama Mvulana