TANZIA: Mama mzazi wa Zarina Hassan(Zari the Bosslady) afariki dunia

Pumzika kwa amani Bibi Tee.Zari Mungu azidi kukupa faraja kwenye wakati hii mgumu.
 
Wabongo na mawazo yetu ya kimasikini, ya kulinganisha maendeleo ya mtu na uchawi, sijui tutabadilika lini rip mama zari
 
d71680afc923cc2573dffa341f908839.jpg

Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi pole sana zari Shemeji wa taifa letu.
 
Du Bonge la Pigo kwa Zari.. Kaondokewa na Ivan Mpenzi wake wa Moyoni na Ameondokewa na Mama Mzazi Duu... Kwa kweli Mungu Amtie Nguvu sana huyu Mdada aisyekuwa na Makuu.. Ila Dimond has to Change sasa awe Mwanaume atoke kwenye Uvulana ili ajue jinsi ya Kuishi Kama Mwanaume na siyo Kuendelea Kuishi Kama Mvulana
Ahahaaaah...
Bongo bhana..!
 
Nataka nione atakavyokuwa ,akijipodoa na hapa na kutegea camera zimchukue vizuri basi kweli huyu ni strong woman
 
Suala la kifo ni la kila mtu naomba Allah amuepushie adhabu ya kaburi inshaallah ingawa na cc watanzania wanafki sana aseee eti tutakukumbuka sana ss mm yke Zari akumbukwe kwa lipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom