kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
January Makamba ana kurupuka kila siku.
Chopa aliyopanda Lusinde iligoma kuwaka.
Wamezidi kuiba hadi wanaibiana wao wenyewe.
Yaani wamezidi usanii mpaka wanasaaniiana wao kwa wao
January Makamba ana kurupuka kila siku.
Chopa aliyopanda Lusinde iligoma kuwaka.
Wamezidi kuiba hadi wanaibiana wao wenyewe.
Huyu dogo huyu, ***** zake!huyu jamaa anaboa sana ...hawa ndo wakujiona wanajua saaaana kuliko wenzao popote anapokuwa ndani ya jamii...just imagine kwa sasa
*mhasibu wa fedha yeye..
*msemaji wa chama yeye..
*planner wa mipango yeye..
*mshauri wa rais yeye...
* mlipaji wa watu yeye..
*operational wa mambo yeye..
*mpokeaji na mpigaji wa simu yeye..
*ongezea na vingine.
huyo jan huwa ni kilaza kma lusinde instead y kufuatilia ujue ukweli lenyewe limetuma tweet likiwa handeni....alitaka watu wajua yeye ndio katoa taarifa.....pia mfiwa yuko busy mtandaoni anamsifia baba yke alikua captain mzuri cjui nini.....unaomba huruma za wana segerea wamchague
Mambo mengine ni yakufikirika sana. Umefiwa unapata nguvu ya kuandika mtandaoni, aisee!
Hali mbayaaaa saaana
mauaji hiyo
Kukurupuka tu.......ilikuwa rahisi sana.......angepiga simu tower ya ilipoondokea......then aulize.........wangemwambia.......akiwa kama waziri wa mawasiliano.......alitakiwa achukue hatua hiyo mwanzo........
sasa mtu unakurupuka kutokea from nowhere........unakana kuwa ndege zetu zote zipo salama........au ilikuwa ni dhambi kwa hiyo chopa kuruka.......?.......kukana kwao inawezekana ndiko kulikosababisha wapendwa wetu kukosa msaada mapema........&$€#¥o kabisa.....
watu wengine wanaboa sana........
Umakini unahitajika nawaza siku Fastjet ikipiga chini! Nadhani tuwekeze zaidi kwenye Usalama wa anga
Kabla haijapaa angani ifanyiwa service pale njombe kuonyesha ilikuwa mbovu. Ikumbukwe pia helikopta hii ilileta vurugu takribani dk 15 kwenye mkutano wa kampeni wa chadema pale njombe. CCM jifunzeni ustaarabu.
Hii helicopters haikuwa ya ccm ..Bali ya jerry ...na baba yake kupitia Hiyo kampuni....Sasa huenda alinunua used ...Kama Ile ya Nyalandu alizonunua mbovu
Ccm unawajua kweli? Kwa ujinga huu walitakiwa wafukuzwe kazi haraka
January Makamba ana kurupuka kila siku.
Chopa aliyopanda Lusinde iligoma kuwaka.
Wamezidi kuiba hadi wanaibiana wao wenyewe.