kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,512
- 2,730
uwe kibol au kiboi ndio hao hao tu ujumbe umeupata. Kabla hujakabiliana na chama jiangalie kwenye kioo mara 2; kama hukunielewa narudia tena sikushtuliwa na kelele za bwana nitashtuliwa na mtwana? Tena mtwana mwenyewe ni kibol cha kupigwa danadana. Niletee hao wanaokupa posho ndio saizi yangu. Hivi na wewe unajiona unachungulia mambo nje ya box? Box hilo la maiti au la nyanya mbovu? Njoo kwenye makini tukupe sera achana na ujinga wenzio wanajikopesha na kujipa hela kujenga mehakalu wewe umebaki kuwapigia debe. Huo ukombozi unaoupigania upo ccm; chadomo ni kundi tu la wajanja wachache wanaotumia malimbukeni kuneemesha matumbo yao.
Chama
gongo la mboto dsm
huo ukombozi unao uzungumzia ni upi mkuu? Tuusubiri kwa miaka mingapi tena baada ya miaka 50 ya vumbi? Mimi nipo nje ya boksi mkuu ndio maana naweza kuyaona yale yaliokushinda wewe, sera makini unazozizungumzia ni zipi hizo? Za kutorosha wanyama hai au za kuficha pesa kwenye mabenki ya uswisi? Nizakuuza meno ya tembo au kupiga deal feki everyday? Mkuu chama embu nipe hizo sera makini zilizofail ktk miaka 50 iliyopita