Tanzia: Dr Alleck Che-Mponda hatunae tena

Tanzia: Dr Alleck Che-Mponda hatunae tena

Madcheda

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2009
Posts
423
Reaction score
69
Mwanasiasa mkogwe na lecturer wa zamani wa UDSM, Dr Che-Mponda amefariki leo asubuhi ktk hospitali ya Massana.

Atakumbukwa kama wanasiasa wa kwanza kwanza kuwa upinzani wakati vyama vingi vilipoanza Tanzania.

RIP
 
Mwanasiasa mkogwe na lecturer wa zmn wa udsm Dr Che-Mponda amefariki leo asb ktk hspt ya massana. Atakumbukwa kama wanasiasa wa kwanza kwanza kua upinzani wakati vyama vingi vilipoanza Tanzania.

RIP
RIP lakini alikuwa Kibaraka (Pandkizi) wa CCM
 
Mwanasiasa mkogwe na lecturer wa zmn wa udsm Dr Che-Mponda amefariki leo asb ktk hspt ya massana. Atakumbukwa kama wanasiasa wa kwanza kwanza kua upinzani wakati vyama vingi vilipoanza Tanzania.

RIP
Nakumbuka PhD yake ilikuwa ktk Mgogoro wa Ziwa Nyasa
 
Mwanasiasa mkogwe na lecturer wa zmn wa udsm Dr Che-Mponda amefariki leo asb ktk hspt ya massana. Atakumbukwa kama wanasiasa wa kwanza kwanza kua upinzani wakati vyama vingi vilipoanza Tanzania.

RIP
Lo
RIP Dr Alec Che Mponda baba yake na Chemi.
Nitamkumbuka kama the only lecturer who dared to ask Mwalimu swali pale Nkurumah in 1978.
 
Mwanasiasa mkogwe na lecturer wa zamani wa UDSM, Dr Che-Mponda amefariki leo asubuhi ktk hospitali ya Massana.

Atakumbukwa kama wanasiasa wa kwanza kwanza kuwa upinzani wakati vyama vingi vilipoanza Tanzania.

RIP
Arusi+1.JPG

R.I.P
 
wakuu aliyekua muasisi wa chama cha TANZANIA PEOPLE PART(TPP) amefariki dunia katika hospital ya masana mbezi beach alipokuwa kalazwa. hili ni moja ya pigo kubwa katika tanisia ya siasa hasa upinzani.
 
Ooh.....accept my heartfelt condolences all the family and TPP members.May his soul Rest in Peace!
 
Pumzika kwa amani. Aluta continua.
 
wakuu aliyekua muasisi wa chama cha TANZANIA PEOPLE PART(TPP) amefariki dunia katika hospital ya masana mbezi beach alipokuwa kalazwa. hili ni moja ya pigo kubwa katika tanisia ya siasa hasa upinzani.
chama chake TPP kilishafutwa na yeye alijiunga na magamba.
 
wakuu aliyekua muasisi wa chama cha TANZANIA PEOPLE PART(TPP) amefariki dunia katika hospital ya masana mbezi beach alipokuwa kalazwa. hili ni moja ya pigo kubwa katika tanisia ya siasa hasa upinzani.

Weka picha. april 1st fools day.
 
Asanteni sana. Baba amezikwa kijijini , Ilela, Manda, siku ya April 8, 2015.


Poleni sana.


RIP baba Chemponda

Namkumbuka nilikuwa naishi jirani pale Mbezi Juu DSM.

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Back
Top Bottom