Tanzia: Diwani wa CHADEMA afariki dunia (Bunda)

Tanzia: Diwani wa CHADEMA afariki dunia (Bunda)

ISIDORI

Member
Joined
Aug 28, 2012
Posts
37
Reaction score
1
Diwani wa Chadema kata ya Nyasura wilaya ya Bunda ndugu Zamberi Mwisarya Ngobayi amefariki dunia jana tarehe 28.10.2013 ktk hosp ya Bugando Mwanza kwa ugonjwa wa moyo. Bwana ametwaa!
 
Diwani wa Chadema kata ya Nyasura wilaya ya Bunda ndugu Zamberi Mwisarya Ngobayi amefariki dunia jana tarehe 28.10.2013 ktk hosp ya Bugando Mwanza kwa ugonjwa wa moyo. Bwana ametwaa!

RIP kamanda, tuliobaki tutakuenzi kwa kushinda 2015
 
Amemaliza safari yake hapa duniani. Mungu awatie moyo wafiwa na kuwakumbusha kuwa hapa hatuna mji udumuo. Bado wewe na mimi. Je umejiandaa vipi kukutana na kifo chako?
 
RIP diwani. Poleni familia. Mungu azidi kuwafariji
 
R. I. P. Kamanda Zamberi Mwisarya Ngobayi
 
Back
Top Bottom