Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Temeke hapajapata kutokea uchaguzi mtamu kama ule!!!RIP Sisco, nakumbuka ile show ya kibabe uchaguzi wa ubunge Temeke kati yako na Lyatonga Mrema
Mzee wa Saigon. RIPHuyu alikuwa ni kijana wa mjini enzi zake.
Apumzike kwa amaniMwanamichezo mkongwe na Mkuu wa Itifaki Mstaafu, Balozi cisco mtiro amefariki dunia leo Aga Khan Hosp, DSM alikuwa akipata matibabu.
Marehemu cisco mtiro alikuwa balozi wa Tanzania nchi za Malaysia, Phillipines, Cambodia,Singapore na Laos.
View attachment 519537
Marehemu Sisco Mtiro enzi za uhai wake
Mada mbalimbali kumhusu Marehemu cisco mtiro
=> Rais Kikwete amteua bwana Sisco kuwa Balozi
=> Balozi Sisco akabidhi hati zake
=>Balozi wa Tanzania Nchini Malaysia kujitetea Baraza la Maadili
View attachment 519534
Rais mstaafu Kikwete akiwa na Mkuu wa Itifaki Ikulu Sisco Mtiro
View attachment 519536
Marehemu Sisco(Kushoto) enzi za uhai wake
Ilikuwa ni baada ya sakata la KihiyoAmenikumbusha enzi za mshike mshike ubunge Temeke chini ya shehe yule maarufu"SHEHE MTOPEA".Sjui yupo wapi siku hizi. RIP Cisco.