TANZIA: Balozi Abdul Sisco Mtiro afariki dunia hospitali ya Aga Khan

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
5,897
10,353
Mwanamichezo mkongwe na Mkuu wa Itifaki Mstaafu, Balozi cisco mtiro amefariki dunia leo Aga Khan Hosp, DSM alikuwa akipata matibabu.

Marehemu cisco mtiro alikuwa balozi wa Tanzania nchi za Malaysia, Phillipines, Cambodia,Singapore na Laos.

DBic3wCW0AEJCL3.jpg

Marehemu Sisco Mtiro enzi za uhai wake​

Mada mbalimbali kumhusu Marehemu cisco mtiro
=> Rais Kikwete amteua bwana Sisco kuwa Balozi
=> Balozi Sisco akabidhi hati zake
=> Balozi wa Tanzania Nchini Malaysia kujitetea Baraza la Maadili

DSC05375.jpg

Rais mstaafu Kikwete akiwa na Mkuu wa Itifaki Ikulu Sisco Mtiro

10.JPG

Marehemu Sisco(Kushoto) enzi za uhai wake​
 
Hivi CCM nao huwa wanakufa?Wangeyajua hayo wasingekuwa wanadhihaki misiba ya wengine.Angalia kinachojiri kwenye msiba wa Ndesamburo!
 
Mwanamichezo mkongwe na Mkuu wa Itifaki Mstaafu, Balozi cisco mtiro amefariki dunia leo Aga Khan Hosp, DSM alikuwa akipata matibabu.

Marehemu cisco mtiro alikuwa balozi wa Tanzania nchi za Malaysia, Phillipines, Cambodia,Singapore na Laos.

View attachment 519537
Marehemu Sisco Mtiro enzi za uhai wake​

Mada mbalimbali kumhusu Marehemu cisco mtiro
=> Rais Kikwete amteua bwana Sisco kuwa Balozi
=> Balozi Sisco akabidhi hati zake
=>Balozi wa Tanzania Nchini Malaysia kujitetea Baraza la Maadili

View attachment 519534
Rais mstaafu Kikwete akiwa na Mkuu wa Itifaki Ikulu Sisco Mtiro

View attachment 519536
Marehemu Sisco(Kushoto) enzi za uhai wake​
Apumzike kwa amani
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom