Ngosha Wailungu
Member
- Jun 6, 2019
- 9
- 1
RIP Morsi
mkuu kwani alikua anatafuta nini?😴Hatimae kapata alichokuwa anakitafuta.
Hatimae kapata alichokuwa anakitafuta.
Huko mbali na ukweli. Unajua kuna kitu watu hatujui... fedha hazileti furaha. Na hata umaarufu au cheo havileti furaha. Mimi naona mtu ukiwa na maisha ya kuweza wewe na familia kumudu kula na kunywa vizuri, kulala sehemu nzuri, matibabu i.e. kipato cha kutosha na uhakika ni maisha bora kabisa.Kuna wakati akili yangu inawaza kwamba maskini na watu wa maisha ya kawaida wanaishi kwa amani na furaha kuliko matajiri na watu maarufu.
Dah! Habari mbaya hii, isije tu ikawa katangulizwa makusudi na watawala wa kijeshiHatimae kapata alichokuwa anakitafuta.
Morsi aliingia madarakani kwa kura halali za wanachi wa Misri na akapinduliwa na Jeshi, unaposema kapata alichokua anakitafuta una maanisha nini.?. Mnatumiaga nini kufikiria.?Hatimae kapata alichokuwa anakitafuta.