Tanzanite one mwisho leo

Nov 16, 2011
9
2
Leo ni siku ya mwisho ya mkataba wa uchimbaji madini kwa kampuni hii, je vigogo wenye mirija katika kampuni hii watakuwa radhi kuachia sheria mpya ya madini ya vito ifanye kazi?

Hofu yangu ni juu ya mikakati inayofanywa ya kuibatiza Tanzanite One kuwa Reachland Resourses, Hiki ni kipimo kwa waziri mwenye dhamana kwasababu sheria haitoi leseni kwa wageni ni matarajio ya Wengi kuwa kitalu hicho kitolewe kwa wachimbaji wadogo, Kama ilivyoshauri kamati ya Zitto, na sio imilikiwe na serikali Kama alivyojipnga Zotto juzi katika maelezo Yake.
 
Sheria nyingi Tanzania huwa zina GRACE PERIOD, kwani hii haina? Kama mkuu wa TRA anaruhusiwa kumsamehe mtu kodi je waziri wa nishati na madini hana mamlaka ya kuwaongezea hata miezi sita kweli? (Mikataba ingekuwa wazi wala tusingekuwa tunaulizana maswali wenyewe kwa wenyewe)
 
Mkuu werema, liwalo na liwe plus dhaifu unategemea niniwalisha renew mkuu mpaka 2099.
 
serikali imetangaza kuwatimua wawekezaji wa Tanzanite one iwapo watashindwa kulipa deni la zaidi ya shilingi dola za kimarekami milioni 2.2; katibu mkuu wizara ya nishati ametangaza

Imetokana na kampuni kukwepa kulipa mrahaba wa bilioni 3.4 toka mwaka 2004-2008
 
walianza kama Summax,wakabadili wakajiita Afgem,sasaivi Tanzanite One........Reachland Resources teeenaaa...!!!!!!!this is a serious issue,hawa majamaa wanapata hela nyingi sana,serikali yetu inapewa mahesabu ya Tanzanite tu ambayo imechimbwa,ila kuna other more expensive minerals zinazopatikana Mererani kama red ruby na green garnet....ambazo ni kama 1.9M kwa gram...tutaibiwa hadi lini jamani,,,,inauma.
 
Kwa serikali hii siajabu wakirenue mkataba tena kwa mrabaha hata chini ya waliokuwa wanalipa. Serikali yetu imejaa wezi halafu wezi wapuuzi wanaowaibia ndugu zao nakunufaisha makampuni na matajir wa nje.
 
walianza kama Summax,wakabadili wakajiita Afgem,sasaivi Tanzanite One........Reachland Resources teeenaaa...!!!!!!!this is a serious issue,hawa majamaa wanapata hela nyingi sana,serikali yetu inapewa mahesabu ya Tanzanite tu ambayo imechimbwa,ila kuna other more expensive minerals zinazopatikana Mererani kama red ruby na green garnet....ambazo ni kama 1.9M kwa gram...tutaibiwa hadi lini jamani,,,,inauma.
tunaibiwa sisi wananchi. viongozi wanapeleka vijisenti vyao nje
 
serikali imetangaza kuwatimua wawekezaji wa Tanzanite one iwapo watashindwa kulipa deni la zaidi ya shilingi dola za kimarekami milioni 2.2; katibu mkuu wizara ya nishati ametangaza

Imetokana na kampuni kukwepa kulipa mrahaba wa bilioni 3.4 toka mwaka 2004-2008

VIVA Maswi, kazi yako ninaipenda. Hawa jamaa nasikia walikamatwa na TMAA baada ya kuwafanyia ukaguzi makini wakabainika kutolipa kiasi hicho cha fedha. Bado kuna madudu yao mengi nasikia TMAA na TRA wanayafanyia kazi. Wametuibia kiasi cha kutosha sasa basi.
 
Back
Top Bottom