Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,178
- 37,475
Heshima sana wanajamvi,
Taarifa za ndani na uhakika ni kwamba Tanzanite One Mining Ltd kampuni ya uchimbaji wa madini ya Tanzanite ipo katika hali mbaya kifeha.
Ikumbukwe Tanzanite One imeuzwa kwa wazawa kutoka kampuni ya wageni (south Africa) tangu ilipochukuliwa na wanaojiita wazawa wakiongozwa na Hussein Gonga mkaazi wa Arusha hali ya kifedha imezidi kuwa mbaya,wafanyakazi wanamaliza mwezi wa pili bila kulipwa mishahara,vifaa vingi kwaajili ya uchimbaji vimeshindwa kununuliwa,wazabuni mbali mbali hawajalipwa fedha tangu mwezi December mwaka jana.
Kodi mbali mbali za serekali hazijalipwa.Nii ajabu wanaojiita wazawa tena wanaodai wanauwezo na ujuzi wa kuchimba madini wanaliingiza taifa katika hatari ya kupoteza ajira za waTanzania zaidi ya 400 kwa mara moja.
Kibaya zaidi wazawa wamefuta idara za usafishaji,ukataji w madini na hivyo madini yote kusafirishwa nje ya nchi hasa India kwaajili ya kuongeza thamani ya madini na kuzalisha ajira India.
Nawasilisha.
Nawasilisha.
Taarifa za ndani na uhakika ni kwamba Tanzanite One Mining Ltd kampuni ya uchimbaji wa madini ya Tanzanite ipo katika hali mbaya kifeha.
Ikumbukwe Tanzanite One imeuzwa kwa wazawa kutoka kampuni ya wageni (south Africa) tangu ilipochukuliwa na wanaojiita wazawa wakiongozwa na Hussein Gonga mkaazi wa Arusha hali ya kifedha imezidi kuwa mbaya,wafanyakazi wanamaliza mwezi wa pili bila kulipwa mishahara,vifaa vingi kwaajili ya uchimbaji vimeshindwa kununuliwa,wazabuni mbali mbali hawajalipwa fedha tangu mwezi December mwaka jana.
Kodi mbali mbali za serekali hazijalipwa.Nii ajabu wanaojiita wazawa tena wanaodai wanauwezo na ujuzi wa kuchimba madini wanaliingiza taifa katika hatari ya kupoteza ajira za waTanzania zaidi ya 400 kwa mara moja.
Kibaya zaidi wazawa wamefuta idara za usafishaji,ukataji w madini na hivyo madini yote kusafirishwa nje ya nchi hasa India kwaajili ya kuongeza thamani ya madini na kuzalisha ajira India.
Nawasilisha.
Nawasilisha.