Tanzania’s President John Magufuli bans Opposition Politicians from Politics

Mkapa, unasema, hakuwa na "mix" lakini aliweza kuongoza nchi. Kwa hiyo kumbe "mix" si lazima.

By the way, Nyerere alikuwa dikteta, hawezi kusemwa ana humility. Watu walifungwa kwa kuwa na mawazo tofauti, unyenyekevu gani unoongelea?

Inawezekana juu kabisa ya jedwali la kuweza kuongoza kuna intelligence tupu isiyo na humility inaweza kuongoza, katikati kuna aina tofauti za mix za intelligence na humility zinazoweza kuongoza, chini kabisa huku ambako hakuwezi kuongoza hakuna mix yoyote ya intelligence na humility. Ni ujinga na kujiona bab kubwa tu.

Sasa hapo unaweza kuambiwa huyu Magufuli hajafikia mix ya intelligence na humility ya kuweza kuongoza, yupo chini kabisa.

Suala la Nyerere kufunga watu liongelee kwa ushahidi na mifano. Sijakwambia Nyerere alikuwa doormat, nimekwambia Nyerere alikuwa na mix ya intelligence na humility. Kama alitumia katiba kufunga wapinzani wake huwezi kusema alikuwa dikteta kwa sababu dikteta anatumia neno lake tu, si sheria.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
W
Magufuli ni mtu asiye na upeo wa kuongoza nchi. Ni mtu wa kuongozwa tu.

Hana mix ya humility na intelligence inayotakiwa kuongoza nchi.

Ukiwa na humility kubwa na intelligence kubwa, hiyo ni best mix (Nyerere).

Ukiwa na humility kubwa na intelligence ya wastani, unaweza kusaidiwa kuongoza nchi (Mwinyi)

Ukiwa na humility ya wastani na intelligence ya wastani,pia unaweza kusaidiwa kuendesha nchi vizuri (Kikwete)

Ukiwa huna humility na una intelligence, unaweza kuendesha nchi (Mkapa)

Ukiwa huna humility wala intelligence, trna uko conceited, hata kusaidiwa kuendesha nchi ni kazi nzito sana, maana utawatukana mpaka wanaokusaidia kuendesha nchi kwa kujiona wewe zaidi wakati huna lolote (Magufuli)
Wow u nailed bro
 
Wapumbavu kabisa hawa.
Magufuli ni kwa ajili ya Tanzania na Watanzania, wao ni akina nani?
Je, wao ni Miungu?
 
Kumchafua Raisi kwenye International Medias ni kazi inayo fanywa na akina Zito - Hao wazungu hushirikiana na mijitu kutoka Tanzania

Taifa lianze na watu wandani, kuwakemea
Anachafuliwa??? Hapo walipomsifia mbona hamuoni amechafuliwa??? Yaani akisifiwa mnaona ukweli ila akikosolewa oooh wanamchafua???
 
Walale mbele hakuna madini hapa

Hii post ifutwe usimuweke mello matatizoni
Ndio akili zenu zinavyowatuma kwamba yeyote anaemsema vibaya huyu dikteta uchwara na hamna uwezo wa kumtumia watu wasiojulikana, basi anatafuta madini yenu?

Akili za mbuzi hizi.

Kuna cha uongo hata kimoja hapo?
 
Magufuli ni mtu asiye na upeo wa kuongoza nchi. Ni mtu wa kuongozwa tu.

Hana mix ya humility na intelligence inayotakiwa kuongoza nchi.

Ukiwa na humility kubwa na intelligence kubwa, hiyo ni best mix (Nyerere).

Ukiwa na humility kubwa na intelligence ya wastani, unaweza kusaidiwa kuongoza nchi (Mwinyi)

Ukiwa na humility ya wastani na intelligence ya wastani,pia unaweza kusaidiwa kuendesha nchi vizuri (Kikwete)

Ukiwa huna humility na una intelligence, unaweza kuendesha nchi (Mkapa)

Ukiwa huna humility wala intelligence, tena uko conceited, hata kusaidiwa kuendesha nchi ni kazi nzito sana, maana utawatukana mpaka wanaokusaidia kuendesha nchi kwa kujiona wewe zaidi wakati huna lolote (Magufuli)
Magufuli si tu hafai kuongoza nchi, hafai hata kuwa kiongozi wa fogong'o.

Kiongozi yeyote asiyetaka kusikiliza wala kufuata hata chembe ya mawazo ya watu wengine angali anafahamu kabisa yeye sio mjuzi wa kila kitu na nafasi aliyonayo inabeba mambo mengi yakiwemo ya kitaalamu, basi huyo ni wa kushindwa tu siku zote na akili ya kuongoza hana.
 
Magufuli si tu hafai kuongoza nchi, hafai hata kuwa kiongozi wa fogong'o.

Kiongozi yeyote asiyetaka kusikiliza wala kufuata hata chembe ya mawazo ya watu wengine angali anafahamu kabisa yeye sio mjuzi wa kila kitu na nafasi aliyonayo inabeba mambo mengi yakiwemo ya kitaalamu, basi huyo ni wa kushindwa tu siku zote na akili ya kuongoza hana.
Umenichekesha sana mkuu.

Ila umeniacha kwa msamiati, hilo fogong'o ni kitu gani? Ni neno la Kiswahili rasmi, kilugha za makabila au kati ya maneno ya Kiswahili cha mtaani tu?

Niko mbali kidogo na kamusi zangu hapa lasivyo ningelitafuta.
 
Magufuli ni mtu asiye na upeo wa kuongoza nchi. Ni mtu wa kuongozwa tu.

Hana mix ya humility na intelligence inayotakiwa kuongoza nchi.

Ukiwa na humility kubwa na intelligence kubwa, hiyo ni best mix (Nyerere).

Ukiwa na humility kubwa na intelligence ya wastani, unaweza kusaidiwa kuongoza nchi (Mwinyi)

Ukiwa na humility ya wastani na intelligence ya wastani,pia unaweza kusaidiwa kuendesha nchi vizuri (Kikwete)

Ukiwa huna humility na una intelligence, unaweza kuendesha nchi (Mkapa)

Ukiwa huna humility wala intelligence, tena uko conceited, hata kusaidiwa kuendesha nchi ni kazi nzito sana, maana utawatukana mpaka wanaokusaidia kuendesha nchi kwa kujiona wewe zaidi wakati huna lolote (Magufuli)
Yani anaboa na anachekesha mixer kuzingua wazi wazi
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wanatuonea! Mabeberu, wakoloni should leave us alone to manage our own affairs in our own fashion!

=====
AP

As long as mnapata handouts kutoka kwa ‘mabeberu’ na ‘wakoloni’ you have no rights to be left alone and be sovereign!

Yaani nikupe pesa za misaada kutoka kwenye kodi ninazokusanya, halafu unapata audacity ya kutaka kutumia fedha unavyotaka?
 
MAZWAZWA ndivyo walivyo Mkuu!

Ndio akili zenu zinavyowatuma kwamba yeyote anaemsema vibaya huyu dikteta uchwara na hamna uwezo wa kumtumia watu wasiojulikana, basi anatafuta madini yenu?

Akili za mbuzi hizi.

Kuna cha uongo hata kimoja hapo?
 
Ukiwa huna humility wala intelligence, tena uko conceited, hata kusaidiwa kuendesha nchi ni kazi nzito sana, maana utawatukana mpaka wanaokusaidia kuendesha nchi kwa kujiona wewe zaidi wakati huna lolote (Magufuli)
Dah! Spot on bruv! Yaani jamaa kanyimwa kila kitu, isipokuwa roho ya korosha na husda!

Uwa nawaambia watu wanaosema kwamba ati hasafiri kwa sababu ya lugha! Lugha wala siyo issue: ingawa form matters, ila watu wakifahamu lugha fulani siyo mother tongue, basi wanaweza kukuvumilia, haswa kama una substance. Sasa huyu mjomba, substance ndiyo hana kabisa.
 
Habari ya zamani sana hii.. One year ago, wazungu ni mafisi, sasa na ww kwnn umeileta humu?
This should be the basis of deleting this thread. Siyo kila kinachoandikwa na mzungu mmoja ndiyo maono ya wazungu walio wengi ambao wanampenda sana rais wetu: ushahidi ukiwa ni jinsi wanavyo miminika kuja kumuona ikulu na kumpa support ya hali na mali, hadi akina Bill Gate na rais wa benki ya dunia!! Support ya namna hii haijawahi kutokea huko miaka ya nyuma. Tuliona marais wetu miaka ya nyuma walivyokuwa wanadharirika kutembea nchi za wazungu kila kukicha wakitembeza bakuli la kuomba misaada hadi tukafikia kuwaita ma Vasco Dagama. Leo rais wetu katulia nyumbani akinyoosha nchi, watu hawa wanamfuata wenyewe, kumpongeza na kumpa support!

1.Demokrasia si kufanya maandamano kila kukicha. Hata huko kwa wazungu hawafanyi hivyo.

2.Demokrasia si kuonesha mikutano ya bunge live. Hata huko kwa wazungu hawafanyi hivyo.

3. Demokrasia si maseneta (kwetu tunawaita wabunge) wa jimbo fulani kwenda kufanya mikutano ya kisiasa kwenye majimbo ambalo siyo ya kwao isipokuwa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu au mdogo kwa utaratibu uliowekwa na tume ya uchaguzi.

4. Demokrasia siyo kwamba gazeti au chombo cha habari cho chote kinaweza kuandika au kusema au kuropoka anything bila kuzingatia maadili ya uanahabari na sheria za nchi. Hata huko kwa wazungu hawafanyi hivyo.

5. Demokrasia si kwamba unaweza kutumia mawasiliano ya kimtandao kama unavyotaka hata kama unavunja sheria, mila na utamaduni wa nchi yako na hata huko kwa wazungu hawafanyi hivyo.

6. Demokrasia siyo kwamba wale ambao chama chao kilishindwa uchaguzi (wapinzani) ndiyo mawazo yao walazimishe yaendeshe nchi na kufanya choko choko. Hata huko kwa wazungu hawafanyi hivyo.

7. Democracy is the government of the people by the people and for the people through their elected government. The word people here means the majority of the people and not the minority (wapinzanj) who had failed in the elections. Hawa minority hawapaswi hata kusikilizwa bali wanaruhusiwa kusema wakiwa bungeni kwa utaratibu na kanuni za bunge. Na hata huko kwa wazungu hali iko hivyo.

8. Demokrasia si kama wanavyotaka akina Mbowe na wenzake tuamini. Ni kinyume chake kabisa na hao wazungu wanajua hivyo.

10. Demokrasia siyo wabunge wa upinzani kwenda kinyume na sheria, kanuni na taratibu za nchi wawe bungeni au nje ya bunge. Wakifanya hivyo kama ambavyo wanaendelea kufanya, basi kila kukicha tutaendelea kushuhudia wakikamatwa na polisi na kufikishwa mahakamani hadi pale watakapokoma tabia hiyo au watakapokuwa wamenyooka. Haya ndiyo mabadiliko ya kweli watanzania waliyoyataka na kuyapigia kura mwaka 2015. Tusubiri hadi 2020 kuona kama watayabadilisha. Sasa hivi povu za nini?
 
Demokrasi ni kuwa dikteta uchwara kudharau katiba ya nchi, sheria za nchi, mahakama, Bunge. Wananchi na kuiba hazina pesa za walipa kodi ili kununua wachumia tumbo toka upinzani na kufanya miradi ambayo haina kipaumbele kwa Taifa na pia haijaidhinishwa na Bunge. Kuteka na kutesa wananchi na wa vyama vya upinzani wanaokukosoa na hata kuwaua pia.

This should be the basis of deleting this thread. Siyo kila kinachoandikwa na mzungu mmoja ndiyo maono ya wazungu walio wengi ambao wanampenda sana rais wetu: ushahidi ukiwa ni jinsi wanavyo miminika kuja kumuona ikulu na kumpa support ya hali na mali, hadi akina Bill Gate na rais wa benki ya dunia!! Support ya namna hii haijawahi kutokea huko miaka ya nyuma. Tuliona marais wetu miaka ya nyuma walivyokuwa wanadharirika kutembea nchi za wazungu kila kukicha wakitembeza bakuli la kuomba misaada hadi tukafikia kuwaita ma Vasco Dagama. Leo rais wetu katulia nyumbani akinyoosha nchi, watu hawa wanamfuata wenyewe, kumpongeza na kumpa support!

1.Demokrasia si kufanya maandamano kila kukicha. Hata huko kwa wazungu hawafanyi hivyo.
2.Demokrasia si kuonesha mikutano ya bunge live. Hata huko kwa wazungu hawafanyi hivyo.
3. Demokrasia si maseneta (kwetu tunawaita wabunge) wa jimbo fulani kwenda kufanya mikutano ya kisiasa kwenye majimbo ambalo siyo ya kwao isipokuwa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu au mdogo kwa utaratibu uliowekwa na tume ya uchaguzi.
4. Demokrasia siyo kwamba gazeti au chombo cha habari kinaweza kuandika au kusema au kuropoka anything bila kuzingatia maadili ya uanahabari na sheria za nchi. Hata huko kwa wazungu hawafanyi hivyo.
5. Demokrasia si kwamba unaweza kutumia mawasiliano ya kimtandao kama unavyotaka hata kama unavunja sheria, mila na utamaduni wa nchi yako na hata huko kwa wazungu hawafanyi hivyo.
6. Demokrasia siyo kwamba wale ambao chama chao kilishindwa uchaguzi (wapinzani) ndiyo mawazo yao walazimishe yaendeshe nchi na kufanya choko choko. Democracy is the government of the people by the people and for the people through their elected government. The word people here means the majority of the people and not the minority (wapinzanj) who had failed in the elections. Hawa minority hawapaswi hata kusikilizwa bali wanaruhusiwa kusema wakiwa bungeni. Na hata huko kwa wazungu hali iko hivyo.
 
Back
Top Bottom