Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,595
- 59,704
Madhara ya madikteta na wasiofuata taratibu kumtoaMungu awasaidie wote duniani wanaopata madhila haya.
Huyo mtoto hakustahili kuwa na maisha hayo ila tamaa za watu ndio zinawafikisha hapo.
Utawala ukiwa wa kibabe nchi haitasonga mbele kwa vita hata siku moja bali suluhu na kuamua kuishi in harmony
Utawala wa kibabe mwisho wake ni mbaya sana kwani hata Assad leo hawezi hata kwenda kuangalia watu wanavyoangamia kwa mabomu, what's the point to be a leader
Mungu awasaidie wote walio kwenye utawala dhalimu
Yemen leo hapakaliki Iraq ndio usiseme Sudan bado taaban
Somalia
Yaani kila sehemu ni taabu tupu
Tatizo la vita kama hivi huwa vinaanza taratibu na huwa havina mwisho kwani vikundi vinajitokeza kila siku kwa sababu ya dhiki na ukosefu wa mahitaji ya kila siku.
Mwanzo walitegemea yataisha haraka lakini tumbo likisikia njaa wanafanya kila kitu to stay alive
Vita nimeziona live bora usikie tu.
Watu wameamua baada ya udhalimu lakini imekuwa ngumu kuisha.
Lakin Bora tutumie njia sahihi
Je wao wanatumia njia sahihi kututreat sisi?[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Lakin Bora tutumie njia sahihi
Alafu polisi wanawasaidia kuhesabu kuraNjia sahihi ni box la kura, sasa unapoona box la kura linaondolewa kituoni kibabe, kisha linarudishwa kituoni baada ya kura kujazwa ili chama cha rais kishinde, hapo hamna jinsi zaidi ya maandamano ya amani kupeleka ujumbe kwamba mambo hayaendi sawa.
Watu humu si mihemko tu,hata hawajui sources za reliable information.Coward tuUlieandika huuu Uzi ni abunuasi fatilia chanzo wlianza na peace rally serikali ikaamuru wauwawe wakauawawa watu laki tatu na usheee unadhani hio damu yote kutatokea Amani wapi
Hatuambiwi wala hatushauriki! Mkituambia ndio mmeharibu kabisa!!!!"Photo of 4 years child who is migrating from Syria to Jordan, the UNHCR team caught him when he was migrating alone in desert from Syria to Jordan.
The only thing he had in his shopper were the clothes of his mom and sister,who were killed in Syria."
Absolutely heartbroken. Probably the most saddest thing I have ever read/seen. Please Allah help our brothers and sisters in Syria. Please Allah you are Rahim (Merciful)
S.A.R.Q
View attachment 704132
We know In July 2011, defectors from the military announced the formation of the Free Syrian Army, a rebel group aiming to overthrow the government, and Syria began to slide into civil war. While the protests in 2011 were mostly non-sectarian, the armed conflict surfaced starker sectarian divisions.
This started as joke as we do In Tanzania now,
Please stop missunderstanding between CCM/Government supporters and Oppositions
We are all Tanzanians
Mungu ibariki Tanzania,
πππ Eeee Tanzania yetu!!! Mtoa mada kasahau kuweka picha za mauaji ya Rwanda na wakimbizi wa Zanzibar na Congo. Pia amemsahau Akwilina R.I.P.Reff
Wafuasi wa mange kimambi ni manyumbu uwezo wa kufikiri hilo hawana uwezo wao ni kitamani ikulu tu na sio matatzo yatakayotokea kwa wananchiWale wafuasi wa kimambi, hii inawahusu.