Sanctus Mtsimbe
R I P
- Jul 14, 2008
- 1,820
- 1,036
Wana JF na Wazalendo Wenzangu;
Heri ya Mwaka Mpya wa 2009.
Moja ya mikakati ya TPN Mwaka huu wa 2009 ni kuitisha Mkutano Mkuu wa Watanzania wanaoishi nje ya Nchi na wale waliopo nyumbani mwezi December 2009.
Mkutano huu unatarajia kuwakutanisha Wanataaluma, Watanzania waishio Nje ya Nchi, Wasomi, Vyama vya Kitaaluma na Biashara nk.
Wazo kuu la Mkutano huu ni kuihusisha Serikali, Wawekezaji wa Ndani na Nje, Wafadhili na Mabenki katika kujadili na kuainisha mikakati na utekelezaji utakaosaidia Kukua kwa Uchumi wa Tanzania kama mmoja ya jambo muhimu katika kujenga Uchumi imara na endelevu.
Sababu nyingine ya Mkutano huu ni kuelezea mali na rasilimali tulizonazo na jinsi zinavyoweza kusaidia kuleta maendeleo ya Nchi.
Pia tungependa kujadili na kubuni mikakati ya jinsi gani Watanzania waliopo Nje na Ndani ya Nchi wanaweza kushirikiana kwa uaminifu wa hali ya juu katika kuendesha miradi na biashara za pamoja ili kujiletea maendeleo.
Tunapenda mwishoni mwa Mkutano huu, kutoa mapendekezo yetu kwa Serikali na wadau wote ni vipi tunaweza kushirikiana na kwa mikakati ipi kujiletea maendeleo ya Nchi na Watu wake.
Tayari tulishafanya mazungumzo ya awali na Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na pia baadhi ya watanzania waishio nje ya nchi na wengi wanaunga mkono wazo hili. Wengi waishio nje walipendekeza kuwa kwa kuwa mwisho wa Mwaka wengi hupenda kurudi Tanzania kusalimia nyumbani na kufanya mambo mengine ya Kimaendeleo, ni vema tukafanya Mkutano huo Mwezi wa December 2009.
Tunapenda kukaribisha mawazo zaidi ya kufanikisha Mkutano huu na utekelezaji wa mapendekezo yake.
Napenda pia kutumia fursa hii kuwajulisha juu ya uwepo wa TPN Chapter huko Marekani na Uingereza.
...wakati wa ile mijadala ya dual citizen kuna wasio na aibu(majority) waliita watanzania wanaokaa nje ni traitor,wabangaizaji,wazamiaji,unpatriotic etc tena cha ajabu ni wasomi na wengine hata wali suggest kuwa na dual citizen itafanya watumike kama spy/vibaraka,sasa leo vipi wanaona nao kumbe wanaweza kuchangia maendeleo ya taifa?
Kwanza shukrani kwa taarifa hizi na ningependa kukuhakikishia kwamba tupo pamnoja ila tu nina maswali mawili matatu...
Kwanza TPN ni chombo gani hiki? nini kirefu chake..
Pili, Kuna wajumbe ghani wanaowakilisha Diaspora hadi sasa hivi?
Na mwisho, Agenda zipi zimekwisha tayarishwa ambazo zita husiana na washiriki wote ktk kujadili na kuainisha hiyo mikakati.. Kwa sababu hizi hadithi za mijadala na mazungumzo mengi huwa zinanipa kichefuchefu ikiwa hakuna mikakati ambayo tayari imekwisha tayarishwa...
Nitakupa mfano mmoja wa Wachina.. Hawa jamaa zetu wamefungua matawi ya benki zao huku na wanapatiwa mikopo ambayo inahusiana na Uagizaji wa mali zao wenyewe kutoka China..Kwa hiyo huyo diaspora ndiye anakuwa importer wa mali zao na ku supply ktk maduka ya rejareja badala ya kutegemea Mr. Smith ambaye kwanza hafahamu kama Tanzania ndio main producer wa Korosho..
Sasa hivi wenzetu most of electronic Accessories hasa ktk PC na simu zinaingizwa North America na Wachina wenyewe ambao wanaziuza katika mashirika kama Dell na kadhalika..Sisi hapa sijawahi kuonba hata siku moja kitu kinachotengenezwa Tanzania hata iwe Khanga tu.. nakumbuka zamani sana enzi za mwalimu niliwahi kuona mashuka na nakumbuka viatu vya safari boots... Toka hapo sijaona tena zaidi ya maduka ya Watanzania ambao wanaouza rejareja nguo za Kipopo (Nigeria), na vinyago..
Hata hivyo mkuu wangu panga pangua msinisahau kunipa mwaliko nitapenda sana kuwapanua fikra jinsi wenzetu wanavyofanya..
Sanctus Mtsimbe:
Wengine tumesharudisha kadi za chama, je bado tunahesabiwa kama Diaspora ?
Vilevile je kuna mafanikio gani mpaka sasa au ni-get together kama za kawaida?
I am with you man but we need to be serious. This is a bright idea and hope most people will join in.
On location issue, my opinion is to host the first meeting in one of the city, (Dar, Arusha, ATL, London, Mexico City, Abuja, New Delhi or any other city) and later on once we are well organized, groups can send delegates to the venue and other can use technology, video conference.
Just throwing ideas around but we can definately DO THIS.
RWANDA Diaspora
BY EDMUND KAGIRE
NYARUGENGE - The Rwandan Diaspora together with the National Bank of Rwanda (BNR) have finalised plans to establish an investment fund by Rwandans living in the Diaspora that will be fully operational by March this year.
The fund, known as the Rwandan Diaspora Mutual Fund (RDMF) fine tuned and adopted by the 2008 Diaspora Retreat last month, is a pool of funds to be created by Rwandans abroad to empower and mobilise themselves to invest in their home country through remittances as a way of contributing to national development.
Presenting the current progress of the fund to BNR and the Ministry of Foreign Affairs (MINAFETT), the RDMF Promoting team consisting of Rwandans living in Diaspora, revealed that the mutual fund, supported by the majority of Rwandans in the Diaspora, will be fully established in March 2009.
This initiative is an indicator that Rwandans in Diaspora have moved from talking to concrete actions. It is purely a business initiative that will yield very great returns to investors and our motherland, said Providence Bikumbi Newport, the head of the Promoting Team.
The fund is aimed at promoting the financial well being of the Rwandan Diaspora while participating in the socio-economic development of their country instead of investing outside Rwanda.
The idea was conceived during the 2007 Diaspora retreat but never took shape until the 2008 retreat where it was agreed that such a fund if created, would not only benefit the economy but also the economic lives of Rwandans in Diaspora and their families.
Speaking at the press conference, the BNR Governor Francois Kanimba re-assured members of the Diaspora that the National Bank in conjunction with the Capital Markets Advisory Council (CMAC) are ready to provide all the necessary support required during the establishment and investment of the fund.
We appreciate the fact that Diaspora members have now agreed to shift from words to actions. This idea is very welcome and we will always come in to help at any moment, said Kanimba.
After its establishment, the Mutual Fund will be invested in Treasury Bonds, guaranteed by BNR and at a later stage the interest gained from the bonds will be invested in higher risk products such as corporate bonds and stocks though it is also expected that the fund will be invested abroad in the long run, to earn more interest which will then be repatriated back to Rwanda.
The fund will be monitored and controlled by the Diaspora General Directorate in MINAFETT together with the Central Bank and CMAC to ensure that its is properly used and that owners of the fund receive their dividends and returns on the amount of money each invested.
This is entirely a business idea for Rwandans in Diaspora that is aimed at mobilizing them to invest their money in their home country and earn from their investment while benefiting the economy, added Bikumbi, a resident of Canada.
The Promoting Team is set to embark on a mobilising campaign across the globe that will see an estimated million Rwandans living in the Diaspora convinced to invest their money in Rwanda other than investing it abroad.
According to the Director General of the Diaspora General Directorate, Robert Masozera, the ministry has planned several conventions and international conferences across the globe aimed at mobilising Rwandans to invest in the country.
Among other things, the directorate launched a Diaspora website which will be used as a link for Rwandans in the Diaspora to network, while Rwandan embassies across the globe have been encouraged to sensitise Rwandans in their particular countries.
The government of Rwanda has developed a comprehensive plan to involve the Rwandan Diaspora in the development process through remittances and profit repatriation as one way for the country to reduce on overdependence on foreign aid.
According to Kanimba, remittances from abroad reached an estimated $150m in 2008 compared to $103m the previous year.
Those are the figures recorded officially through recognised money transfers and Forex Exchange but we imagine it could have gone beyond that. We are developing a new strategy to monitor remittances as they come in so that we know what exactly came in added Kanimba.
In the same development, Banque de Kigali allowed zero money transfer costs on remittance transfers as an incentive towards the creation of the Fund, a move highly welcomed by Diaspora members.
Ends
Mtsimbe nakupongeza kwa constructive idea ya kufanya hiyo event.
TPN mpaka sasa mmefikia wapi kwenye ule mfuko wa kuwawezesha vijana wasomi?
Nilikuwa napenda kujua status na challenges mnazoface katika kumobilize hiyo fund.
Vipi so far kuna bank yeyote nchini au taasisi iliyoonyesha ari ya kuunga mkono wazo la kutoa mikopo kwa vijana through their business idea as collateral and then waanzishe biashara na kulipa???
Sanctus,
Hongera kwa wazo zuri sana. Ushauri tu ni kwamba jaribuni kuanza na malengo machache na madogo ambayo mnaweza kutekeleza na kisha kusonga mbele. Watanzania ni wagumu sana, mnaweza kutumia muda mwingi kufanya conference kubwa kama hii lakini siku ya siku msipate hao Diaspora.
Balozi wetu wa UK anaweza kukupa ushauri mzuri sana kuhusu Watanzania. Amefanya juhudi nyingi na pia nafikiri ameweza kutuelewa sisi Watanzania, longo longo nyingi lakini matendo anajua mungu.
Kama wananchi wanaona kuna mafanikio watakuja tu na kujiunga. Ndio maana ni muhimu kuanza na vile vitu ambavyo kila mtu anaweza kuona faida yake kwa macho yake.
Mafanikio mema, kama nitabeba boxes za kutosha mwaka huu, ningependa kushiriki.
Kaka Sanctus,
Nshukuru kwamba umeweza weka jamvini hili jambo ili kupata mawazo ya wana JF. Ni jambo jema kwa maendeleo ya individuals na Taifa kwa ujumla na i trully believe that Watanzania tunaweza fanikisha hili as long as we put our mind, true dedication and efforts katika kulifanikisha.
Tutakuwa pamoja mpaka mwisho kuhakikisha mafanikio ya kweli...