Tanzanian girl (21-year-old) stripped, assaulted by locals in Bengaluru, India

Mi kuna siku mama alini tambulisha kwa mtu fulani, akanipa na namba yake ili nikasome India daa nilivyo siipendi hii nchi na pia hao watu sijawahi mpigia wala nini, sina haja ya kwenda kwa hawa wahuni
 
Halafu serikali yetu inawaruhusu hawa wapuuzi kuingia hapa nchini na kujifanyia mambo wajisikiavyo!I hate Indians with passion!
Sisi wote ni binadamu kasolo wahindi. Wale ni viumbe toka sayari nyingine. Kwao utu na ubinadamu ni sifuri
 
Sio wao tu. Hata sisi hatufai.
Ubaguzi tulionao hapa kwetu ni mkubwa kuliko wa kwao.

Hapa tunachukia wahindi kuliko wao wanavyo tuchukia sisi.
Hilo liko wazi kabisa.

Chuki yetu sisi ni UHASIDI TU.
kwanini wao matajiri na sisi maskini Hilo ndio tatizo letu wengi hapa.
Na hii ni Roho mbaya.

UVIVU na Ukosefu wa maarifa ndio unao sababisha tukajenga chuki zisizo na faida.

Wahindi juu ya ubaya wao na mapungufu yao Wanatoa ajira na wanashiriki ktk kujenga nchi.
Sisi tumebaki kuchukiana kwa mambo ya kipumbavu tu.

Ofisi za wahaya Msukuma ni marufuku.
Na viwanda vya wachaga Waha na wanyamwezi marufuku.
Upumbavu juu ya upumbavu.

Hata wanyama wana afadhali.

Ukitaka kulaumu wengine jitazame wewe kwanza.

Wahindi waliopo hapa kwetu wengi wao ni wafanya biashara na sio walifadhiliwa tu.
Je! Serikali ya india inatoa scholarships ngapi kwa wanafunzi wetu kila mwaka?

Sasa hilo hulioni wewe. Unachoona ni huyu binti tu kuvuliwa nguo!

Acheni ubaguzi wabongo, mtakuja malizana siku moja.
 


Days after a 35-year-old woman died in Bengaluru after being run over by a car driven by a Sudanese student, details have emerged of a 21-year-old Tanzanian student, who arrived at the scene of the accident 30 minutes after the incident, allegedly being stripped and assaulted by a mob.

She tried entering a BMTC bus but was pushed out by passengers in the bus. She was refused entry by an auto rickshaw driver as well.

The girl, a second year BBA student of Acharya College, had no connection to the students involved in the accident, reports Deccan Chronicle.

Bosco Kaweesi, the legal adviser of All African Students Union in Bengaluru, said that the Tanzanian girl and the Sudanese man, who was booked for the accident, were not known to each other.

The Tanzanian student was travelling in another car – a Wagon-R – along with four friends and had arrived at the accident spot 30 minutes after the incident. The mob reportedly beat her, stripped her of all clothes and made her parade around naked in the presence of the police. The mob also set ablaze the Wagon-R, with all the students losing their valuable documents, including passports and ATM cards.

A bystander, who tried to help the woman, was also attacked.

"The scared students were forced out of the car and then the car was set ablaze. The driver of the second car identified as Micah S Pundugu was beaten up black and blue by the mob, who then stripped the girl student.

When someone from the crowd offered her a T-Shirt to save her modesty, that man too was beaten up by the mob. She later, with her torn clothes, tried to enter a BMTC bus that had slowed down nearby, but the passengers in the bus pushed her back down onto the road." -Bosco Kaweesi


Tanzanian Girl Stripped, Paraded by Bengaluru Mob After Accident

=====

Later, Bengaluru Police filed FIR against 4 suspects and arrested them.

According to a Deccan Chronicle report, the girl who arrived at the spot with four others almost half an hour after the incident, was forcefully dragged out and assaulted.

The Tanzanian girl is a second year BBA student and has no relation with the man involved in the incident. The girl also tried to board a bus and escape from the location, however, the passengers threw her back into the mob.

Akili za wahindi wanajua afrika ni nchi masikini sana. Ila wajue kuwa ndo inawakomboa. Kwao kupata ata kibarua cha kufagia ni shida. Masikini ni masikini na tajiri ni tajiri. Sijui siku watu wakiwachoka watalalamika. Maana wanachowafanyia wenzetu huko sio kizuri. Nchi yao na watu wake masikini tu kama tanzanai. Ukitaka kujua hilo angalia wahindi wengi wanaokuja tanzania. Wanahali ngumu siku wakiambiwa waondeke??. Arafu wamejaa huku wanacopy tu cd za watu na kuwaharibia kazi zao.
 
...duh..pole zake demu.....wasije tu wakawa walimpiga miti...maana kumekua na matukio hayo sana India....kuna demu wao mwingine walimpiga miti mchana kweupe kwenye dala dala hadi akafia hospital....
 
Hata sisi waafrika unabazi kila kona.

Ofisi ya mchaga we muha utapewa kazi?
Au ya Muhaya we mdengereko utapita?

Acheni kusema watu wakati sisi wenyewe tuko ovyo!

Anza kukemea hapa hapa kwanza kabla ya kusontea vidole wengine.
Yani ni kweli kabisa...
Kama pale kariakoo kwenye duka au biashara kubwa ya mpemba mwarabu au mzaramo ni lazima watumishi utaowakuta ni waswahili tu huwezi kukuta kaajiriwa "wakuja wa kutoka bara"....
 
Sio wao tu. Hata sisi hatufai.
Ubaguzi tulionao hapa kwetu ni mkubwa kuliko wa kwao.

Hapa tunachukia wahindi kuliko wao wanavyo tuchukia sisi.
Hilo liko wazi kabisa.

Chuki yetu sisi ni UHASIDI TU.
kwanini wao matajiri na sisi maskini Hilo ndio tatizo letu wengi hapa.
Na hii ni Roho mbaya.

UVIVU na Ukosefu wa maarifa ndio unao sababisha tukajenga chuki zisizo na faida.

Wahindi juu ya ubaya wao na mapungufu yao Wanatoa ajira na wanashiriki ktk kujenga nchi.
Sisi tumebaki kuchukiana kwa mambo ya kipumbavu tu.

Ofisi za wahaya Msukuma ni marufuku.
Na viwanda vya wachaga Waha na wanyamwezi marufuku.
Upumbavu juu ya upumbavu.

Hata wanyama wana afadhali.

Ukitaka kulaumu wengine jitazame wewe kwanza.

Wahindi waliopo hapa kwetu wengi wao ni wafanya biashara na sio walifadhiliwa tu.
Je! Serikali ya india inatoa scholarships ngapi kwa wanafunzi wetu kila mwaka?

Sasa hilo hulioni wewe. Unachoona ni huyu binti tu kuvuliwa nguo!

Acheni ubaguzi wabongo, mtakuja malizana siku moja.
Ha ha ha we hujakutana na wahindi wewe. Wanadharau sijawahi ona. Mie langu moja tu. Hakuna urafiki kati ya india na Tanzanaia. Mbona wachina wakorofi lakini hawasumbui. Kila siku ni india tu. Na wachina wa kariakoo tunaishi nao vizuri. Kwanin wahindi tu ndo wachukiwe tanzania. Mbona mataifa mengine tunaishi nayo poa tu
 
Tuikijifunza kuambiana ukweli itatusaidia

India ubakaji upo juu sana
binti yeyote mgeni kutembea peke yake ni hatari
mzazi kumpeleka binti yako akasome India bila tahadhari ni hatari na uzembe pia
ubakaji wa India uko all over news daily....
tahadhari ni muhimu kabla ya hatari
Serikali imrudishe huyu binti nyumbani, apumzike alafu imtafutie chuo
 
Ha ha ha we hujakutana na wahindi wewe. Wanadharau sijawahi ona. Mie langu moja tu. Hakuna urafiki kati ya india na Tanzanaia. Mbona wachina wakorofi lakini hawasumbui. Kila siku ni india tu. Na wachina wa kariakoo tunaishi nao vizuri. Kwanin wahindi tu ndo wachukiwe tanzania. Mbona mataifa mengine tunaishi nayo poa tu
We unajua rekodi za uvujanji wa haki za binaadamu Huko China?
Una habari China inaongoza DUNIANI kwa HUKUMU YA KIFO?
Nenda kakae China uone km utamaliza mwaka.
Kwanza hilo jina lako tu miaka 4 jela.

Ati wachina wa Kariakoo!
We ulitegemea mchina wa kariakoo akuzengue?

We kweli kapyungu.
 
Mpendwa BB !1 siyo wote waendao India ni wanafunzi !! Wapo waTZ/African wengi huenda kimatibabu na hufuatana na wasindikizaji wa familia!! Wapo wTZ/African wengi huenda kibishara kwa kuwa bidhaa ni rahisi na gharama kadhaa ni rahisi basi wengine hupata wageni kutoka nyumbani...

Mara nyingi wageni hapo tukio hutokea Mtu kukutwa ktk WRONG PLACE and WRONG TIME !!!!

Kwani hapa nchini Majambazi washaua wahindi wengi tu !!!! Tutazame kwa moyo mpana mambo/habari/matukio kwa busara na hekima !!! (kosa la mmoja au kundi moja Lisijumuuishe au kujumlisha TAIFA zima)
God bless you.
housegirl
game over
@kavavi
Mnyabwilo
Ukweli ni kuwa India kuna matukio mengi ya udhalilishaji wanawake. Sio wageni sio wazawa. Me napaogopa sana huko.

Hii case sijui ni ubaguzi wa rangi au wa kijinsia.

Kuhusu ubaguzi wa rangi, KAMA NYIE SIO WABAGUZI MBONA HAMTUWOWI?

Otherwise, nimesoma na wahindi, Nina marafiki wa kihindi. Sijawahi kuexperince ubaguzi
 
Back
Top Bottom