Hatutafuti tu pesa.
Tunatafuta ushauri, connections, investors, partnerships, watu wenye uzoefu, watu wenye uwezo wa kutuunganisha na taasisi husika, na hata Mtanzania mwenye uwezo wa kutusaidia kumalizia hatua hii ya mwisho.
Kama una mawazo — tupe.
Kama una connection — tutambulishe.
Kama wewe ni investor — tuwasiliane.
Kama una uwezo wa kusaidia kifedha — msaada wako unaweza kutusaidia kuanza.
Kama huwezi kusaidia kwa chochote — share ujumbe huu.
Kwa sababu tunataka DAGHT isibaki kuwa idea kwenye karatasi.
Tunataka ianze kufanya transactions halisi, ijenge ushahidi, na ionyeshe kwamba Watanzania tunaweza kujenga teknolojia zetu wenyewe.
Hatusemi tumefika.
Tunasema tumefika hatua ya mwisho kabla ya kuanza safari halisi.
Kwa yeyote mwenye ushauri, connection, partnership, investment au msaada wa aina yoyote — tafadhali tufikie.
DAGHT — Built by Tanzanians, for Tanzanians.