Jovegg
Member
- Nov 17, 2011
- 64
- 8
weka hizo update hapa wewe sio kila mtu anaangalia tv muda huu? Kma huwezi kaa kimya.
sumbua akili wewe tv mpaka kwa mama ntilie nenda kaombe maji ya kunywa uangalie update. Sio kilakitu upewe. Haya changamka
weka hizo update hapa wewe sio kila mtu anaangalia tv muda huu? Kma huwezi kaa kimya.
unaweza kukuta alikuwa ni mkuu wa kaya.....
Ni kweli huoni taabu kupigwa ban, lakini nafikiri ulitaka kuandika kuwa huoni taabu kujilipua kwa bomu ukikutana na watu kama sisi! Imekuuma eeh?
Unawashwa au nini?! Sema ? Na watu kama wewe, wewe nani?! Jina lako umeshasema ni Teja Mfu, so why should i deal with dead people?!
what a loss!!
hapa ndo utaona maana ya wimbo "usije mjini"jamaa ujanja wooote na kutengeneza pesa kwa sana ujanani anaenda kupoteza maisha kibwege hivi??
kweli kifo hakina formula,
kamfundisha huyo mtoto usanii na mapenzi na lulu kamzawadia kifo:heh:
Wandugu, watu kama akina Kanumba nchi nyingine huwapa VIP passport na huwa wanapewa mazishi ya Kitaifa, nchi zinazotambua mchango wa wasanii hawa katika kukuza jina la taifa husika katika nchi mbalimbali duniani na hata katika maendeleo ya nchi hasa katika kuelimisha nk
J e kanumba anastahili mazishi ya kitaifa?
Kanumba yuko mbele ya HAKIMU wa kikwelikweli acha hawa wababishaji watupu............atajibu hizi khoja na nyinginezo ambazo alituficha lakni kwa MUUMBA ni bureki ya yote............
Kwa mujibu wa maelezo ya Ndugu yake Kanumba ambaye alikuwepo nyumbani hapo ni kwamba, Kanumba na Lulu walikuwa wakibishiana juu ya simu ya lulu, kwani Lulu alikuwa anaongea na simu na bwana mwingine, kanumba alipotaka kumnyang'anya ndipo walipoanza kusukumana na kanumba akaanguka na kujigonga vibaya!
Lulu kwa sasa anashikiliwa kituo cha polisi!