Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 635
Nimeota Ramsey kafunga goal la ushindi against Man six! This time mtu anavuta kwanza then Ramsey anascore!
Acha utani mkuu, watu tupo msibani saa hii.
Kwa hiyo ndo kusema jamaa hawashindi ni mpaka mtu afe?