Leo siyo siku ya kazi, kaoge, ukojoe na ulale mapema. Jamii ya kistaarabu ya kulipua wenzenu na kujilipua wenyewe kwa mabomu? Ndugu huna pointi, hata mimi nilikosa pointi nilipokuwa huko kwako miezi michache iliyopita. Leo mada hapa Kanumba kafariki, how come mtu anakuja na kushangilia kwa kifo chake?