Kwa mchango upi alio utoa? Mkuu watu kama akina Michaele Jackson anzani unatambua michango yao, wakina Bob wakina Luckdube, hawa walipigania sana maisha ya wengine na si maisha yao pekee, mtu kama Luckdube alipigania uhuru wa south Africa na mchango wake south Africa wanautambua kabisa, si kila mtu tu ni wakipewa heshima za kitaifa ila kwa Tanzania inawezekana