mkuu! Hakuna kuomba hapa, kifo chake kama inasemekana, 7bu ni mapenzi, while huyu lulu c mke wake. Mungu wa kweli hana muda wakusikiliza kelele. Infact, tasnia ya filamu ni 1 ya kitengo cha shetani.! Sorry huo ndo ukweli
Jamani mmejuaje kama alikuwa na Lulu na lulu yupi? kama ni lulu huyu mtoto ambaye na actor ni juzi alìhojiwa na Salama ktk kipindi cha mikasi na mtoto alipohojiwa kuhusu kuwa na boyfriend alikana kuwa hana mwanaume kabisa na hajawahi kuwa na mwanaume da kama ni kweli xaxa hy aibu nyingine baada ya majonzi (plz tuache udaku kwanza katika kipindi hiki kigumu)
kile kitoto wao kina kanumba ndio wamekifundisha sanaa na wamekilea ...leo kimekua wao hao hao wanaanza nako mahusiano ya mapenzi!!!!.....halafu kitu kingine huyu lulu ana nguvu kiasi gani cha kumsukuma kanumba au alimpiga na kiti kizito kichwani?