Tanzania yetu vs Taiwani!


Kwanini tusiwaajiri hawa watu wanaongoza hizi nchi tuwalipe vizuri sana, tuwape eneo fulani kama ukubwa wa Singapore tuone wanafanyaje baada ya miaka miwili, mitano tulinganishe na viongozi wetu wazawa.

Kiukweli uwezo wetu wa kufikiri na kufanya vitu vya maana kuweka mazingira sahihi ya nchi kuinuka na kusimama ni mdogo sana. Watu wetu hata ukiwapa miaka 50 hamna chochote cha maana wanachoweza kufanya wako zaidi kisiasa, ubinafsi, ukabila, udini na kwamba mimi ndio mkubwa.

Kiukweli hii nchi ukimpa Msingapore, Emir wa Dubai, Mwingereza inainuka baada ya miaka mitano tu na miaka kumi itasimama imara.

Uchawi upo kwenye mazingira. Mazingira ndio kila kitu. Mazingira, Mazingira, Mazingira.
 
Idiotism at its role!
 

Umeuliza umeme wao wanajengaje?

Hawageuzi nchi jangwa na kuua wanyama kujenga hizo Megawati 48k!

Jifunze kujenga umeme bila kuchoma nchi!

Kwa analogy yako ya Stigler's ,utatakiwa uchome Africa nzima kupata hizo megawati 48k za Taiwani....

Punguani kabisa nyie!
 


Ndiyo!
Waliuwa Wanyama wote, kilikuwa na Chui waliwamaliza wote sasa hivi ni extinct ili kupisha maendeleo miaka ya 60’ wakati wanahamia Kisiwani Taiwani kutokea Bara China hata Wazungu pia waliuwa Wanyama wote kuanzia Ulaya, Australia, Kanada mpaka USA, zamani kulikuwa na Simba, Bweha USA wakahamisha wote kupisha maendeleo, Ulaya kulikuwa na Bweha wakawawinda wote na kuwauwa ili waishi!
 
MW 2000 zinapatikana from gas pia.
Kwani ni maji tu?
Hao wazungu waje na hela za kufund alternatives to hiyo Stieglers Gorge sio tu kusema tusiijenge.
Shida si kupata 2000 mW kutoka kwenye gesi shida ni gharama yake ni kubwa kwa sababu vitalu vya gesi vinamilikiwa na wageni,pia kuna wakubwa wamejitengenezea mradi wa kuhakikisha uzalishaji wa umeme kutokana na gesi yote bei iwe kubwa mfano ni Song gas.Na hao watu wapo wanaheshimika hawaguswi.Sahau mambo ya gesi tumeishaliwa.
 
Vs mbona fake megawatts 1500+2000=3500 na bado kama miaka kama kumi kufikia izo megawatts 3500
Megawatts 48000-3500=44500 mwanzisha mada ungetafuta inchi nyingine ya compare sio Taiwan maana hapa Ethiopia wametuacha mbali kwa uzalishaji wa Umeme.na kama taifa tunahitaji Umeme wa kutosha zaidi ya megawatts 15000 bado safari ni ndefu kufikia uchumi wa viwanda na uchumi wa kati.
 
Afute hiyo mikataba kwani vp?
 
naona unajaribu kulinganisha usiku na mchana, good luck!!
 
Wewe ni pungu tu maana unajionyesha kuwa ni mramba miguu kiasi hata hujui nini kipaumbele cha taifa
 
Tunakanusha kuwa hatukuwahi kukanusha
Wee Barbarosa, mbona hivi aiseee!!! hahahahahaah
Halafu kuhusu ile ya JPM kusema wanaume waoe wanawake wawili wawili kupunguza ukahaba, Ikulu imekanusha sio kweli hajasema hivyo
 
Kiukweli hii nchi ukimpa Msingapore, Emir wa Dubai, Mwingereza inainuka baada ya miaka mitano tu na miaka kumi itasimama imara.
.
Mwenzetu umeshampata mjomba wa kutuletea maendeleo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…