Simon MsuvaGoli kafunga nani
How the F can you draw with Mauritius?? No offense to Mauritius ila na sisi bado sana! Tuwe wakweli tu.Ni baada ya kutoka sare ya bao 1- 1 na timu ya Mauritius huku Angola ambao
walikuwa wanafukuzana nao kwa karibu wakitoka sare ya bila kufungana na
Malawi. Mechi ya Robo fainali watakutana na SOUTH AFRICA. Kila laheri Vijana.
Walikuwa kama wana kideri chenye mdondo, stars hii kwa kweli ingawa imeingia robo fainali ila hamna kitu kabisa, sioni cha kujivunia!!Kwa mpira niliouona wakicheza dhidi ya Angola juzi, sina matumaini hata ya kupata sare na Bafanabafana.
Vv
Hii Inaonyesha Malinzi Alikuwa Amekalia Mafanikio Ya Timu yetu Don't Panick Jiulize Y Tangu Aswekwe huko Mambo yananyooka ?Ni baada ya kutoka sare ya bao 1- 1 na timu ya Mauritius huku Angola ambao
walikuwa wanafukuzana nao kwa karibu wakitoka sare ya bila kufungana na
Malawi. Mechi ya Robo fainali watakutana na SOUTH AFRICA. Kila laheri Vijana.
Ni baada ya kutoka sare ya bao 1- 1 na timu ya Mauritius huku Angola ambao
walikuwa wanafukuzana nao kwa karibu wakitoka sare ya bila kufungana na
Malawi. Mechi ya Robo fainali watakutana na SOUTH AFRICA. Kila laheri Vijana.
Ahahah. Lakini malinzi ndio aliowafikisha hapaafadhari soka letu linaanza kuchanua bila Malinzi