CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 4,984
- 4,083
- Thread starter
- #81
Point ya kijinga kuhusu kulalamika. Who cares? Halafu unaongelea wakenya wa border town? Point ni kwamba usisifie Tz wakati hali ni mbaya. Na Rais Samia anaongozwa na wakina Majaliwa na Mwigulu. Wala mimi yeye simlaumu sana. NA WW UTAKUWA DIWANI WA CCM WW. UNATETEA UGALI WAKO. KWENDAAAA!!!
Kumbe najadili na mtu hana akili,
Akili yangu nisamehe,