Tanzania yaongoza kwa bei ndogo ya mafuta ya taa, diesel na Petrol Afrika Mashariki, Kenya bei juu

Mbona hujaitaja burundi acha propaganda za kitoto
Hahaha, Burundi ni kama Afghan ya EA, hamna kitu kule!! Ni kama failed state flani!! Ndiyo maana Mwigulu alisema kama huridhishwi na TZ uende Burundi (Why aitaje Burundi na Siyo Rwanda, Uganda or Kenya?).
 
Ni muongo Burundi na Zambia bei zao za mafuta zipo chini Zaid ya Tanzania na hajawataja

Tuna subiri majibu ya PM kutoka kikosi kazi alicho kiunda kufuatilia changamoto ya bei za mafuta nchini. Msije tu mkamhujumu mkifikiria atapapa sifa. Tunao jielewa twajua utendaji wake, he has nothing to proove.
 
Hahaha, Burundi ni kama Afghan ya EA, hamna kitu kule!! Ni kama failed state flani!! Ndiyo maana Mwigulu alisema kama huridhishwi na TZ uende Burundi (Why aitaje Burundi na Siyo Rwanda, Uganda or Kenya?).
😀😀😀😀 ngoja alete hiyo source yake
 
Hii Nchi ina watu wanaolia Lia Sana,walalamishi ,wakulaumu na wavivu wa kufikiri sasa ni kuwapuuza wakileta fyoko piga nyundo la sivyo hatutasonga mbele..

Vitozo vya mafuta na miamala vimeletwa kiduchu tuu makelele ya kipumbavu utafikiri hizo pesa zinaenda kwa mtu binafsi wakati Nchi ina matatizo lukuki ya kutatua.

Sio tuu mafuta hadi bando na transactions cost ziko chini kuliko majirani wengine EAC ..
 
Tuambie na mshahara wa mwalimu au Medical Doctor uko vipi Kenya na ulinganishe na Tanzania.
 
Watu mnaandika tu vitu na kusifia tu pasipo kufuata economic principles. Kwa mshahara wa Kenya ukilinganisha na Tanzania na kipato cha waTz.. hizo bei ziko juu sana. Na ndio maana waKenya hawalalamiki kama waTz .
 
Watu mnaandika tu vitu na kusifia tu pasipo kufuata economic principles. Kwa mshahara wa Kenya ukilinganisha na Tanzania na kipato cha waTz.. hizo bei ziko juu sana. Na ndio maana waKenya hawalalamiki kama waTz .
Soma hiyo stori vizuri,

Nikweli hawalalamiki?

Mbona hujawasemea doctors,teachers na nurses wa Rwanda, Burundi naUganda?

Acha kupotosha Juhudi Za Rais wetu,
 
Soma hiyo stori vizuri,

Nikweli hawalalamiki?....
Hawalalamiki kama WaTz. WaTz wanalalamika zaidi na wanaumia zaidi. Ww unasoma magazeti? Mimi naenda Kenya sana na kukaa na waKenya sana kwa muda wa kutosha wa kuwaelewa na challenges zao. Ila ww unatoa info kutoka magazetini.

Ps: Simlaumu Samia. Hali iliyopo mbaya ya kiuchumi aliianzisha Magufuli. Wala Samia hana kosa sana. Alirithi uchumi mbovu.. na viongozi wabovu wa CCM.
 
Sio kweli. Kipato kwa Tz (income) iko chini sana. Na ndio maana hata house girls waliopo Kenya wanatoka Tz sababu wa Kenya lazima umlipe mara 2, 3 au zaidi ya wage ya housegirls wanavyolipwa tanzania.
DocJayGroup hoja yako ni nini?

Mimi nimekupa exchange rate toka Shilingi ya Kenya,

Hebu soma tena zingatia Exchange rate ni KSH,
 
Tanzania bei ndogo za vyakula na nyumba ya kukodi tuu. Kwa hio acha sana kusifia pasipo kuwa na uelewa mzuri.
Sitaki maneno hamia kwenye hizo Nchi alafu kanusha kwa facts kwamba yaliyosemwa hapo juu bei ni kubwa kushinda majirani..

Hapo unazidi kuonyesha raha ya Tzn,kama vyakula na nyumba bei ni ndogo huoni maisha yanaendeka bongo?

Nyie watu mnataka nini hasa? Mbona mnadeka Sana?
 
Hamjui hata mnaumwa nn japo mnaonekana wazi mnaumwa. Na mkiendelea kujiliwaza hamuumwi mda waja kifo kitawakuta
 
Back
Top Bottom