" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
Sio kwamba baada ya kelele za humu ndio serikali imesikiliza? Toa takwimu za miezi ya nyuma uone; kuna magari ya Mbeya yalikua yanajaza mafuta Zambia; binafsi ningekuona wa maana kama ungeweka hivi, "mama Samia asikia kilio cha wananchi wake kuhusu bei ya mafuta, hatimae kapunguza" Second question, hiyo bei ulioweka hapa kwa Kenya just mfano, ni miji gani ambayo wamefanyia sampling? Cause it sound like kwa Tanzania umeangalia bei ya mafuta kwa Dar, hope na Kenya iwe Mombasa na sio Nairobi hapo tutakwenda sawa, vinginevyo hizi nazo ni propaganda cause hiyo bei ya miji ya Kenya ulioweka hapa ndio bei za mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Mara nk yaani mikoa ambayo ipo mbali na bandari ya Dar or Tanga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.