Tanzania yaishitaki Malawi UN

Yuko wapi lowasa amalize haya mambo?
 

Green colour........umechapia hicho kiinglish chako.
 
Sioni ni jinsi gani tunaweza kushinda hii kesi tukienda kwenye mahakama ya usuluhishi ile Heligoland treaty imetubana sana dawa ilikuwa ni vitisho na ubabe tu
Hii kesi imeisha isha na Wamalawi baada ya kutolewa vielelezo na mchanganuo wa kisheria ndipo walipokacha kikao cha Dar. Soma article ya Hamza Johari akimjibu advocate Fatma Karume ambae alikuwa na mawazo kama yako 'Is Anglo-German Treaty of 1890 on the Border delimination between Malawi and Tanzania Lawful under the eye of International Law?'
 
wamalawi washaoa hii ngoma nzito ndio maana wanakwepa kwepa kufanya hata mazungumzo..
cha maana ni kuwachimba mkwara wa maana hakuna kuvuka nusu ya ziwa bila kibali..........
 
Kuna Hatua Imerukwa Hapa Membe alituambia wata tafuta mtu wa waTu (third. Party Country)ambaye ana aminika kwa nchi zote akatisikiza na Akaamua...

Pili alituambia Gharama za kulipia UN ni dola 12,000 (kama sikosei) kwa Kikao kimoja...vitu vinginE watuweke. Wazi



Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Ukiwa dhaifu hata sisimzi atakupandia na kisha atakung'ata. Banda alipom-beep Mwalimu juu ya umiliki wa ziwa aliambiwa u-mwendawazimu na nidhamu ilifuata mkondo wake
 
Iko wapi hiyo Article mkuu I would Love to read it.
 
Tanzania tukaweke manowari ya kivita? Bajeti ya Tanzania ni Bilioni 8 $ kama sikosei 40% inatoka kwa wageni halafu unaongelea kuweka Manowari za kivita Ziwa Nyasa, unamaanisha kweli au unatania?



Kwani hiyo 40% inakwenda wapi kama sio kwa wageni? Hatuhitaji misaada yao wameshindwa kujisaidia wenyewe na kuondoa matatizo yao wataweza ya kwetu?

 
Kwani hiyo 40% inakwenda wapi kama sio kwa wageni? Hatuhitaji misaada yao wameshindwa kujisaidia wenyewe na kuondoa matatizo yao wataweza ya kwetu?


Blah blah... unasema hatutaki misaada yao huku umekaa Dar kwenye kiyoyozi na iphone ukiperuzi JF, ukienda lushoto huko na vijijini vingine Tanzania huduma pekee ndugu zetu wanazopata kuanzia tiba mpaka chakula ni kwa wasamalia wema toka Ulaya na kwingineko, hata kulea wazee wetu pia ni Wazungu wanakuja kutusaidia, ukitoa hospitali za kanisa na shule hapa Tanzania watu wengi sana watakuwa hawana huduma kwa hiyo ni rahisi wewe uliyeko Dar mwenye Bima ya Afya na fungu la kwenda kutibiwa India kusema "hatutaki misaada"
lakini nakuhakikishia kuna Watanzania wengi sana vijijini hiyo hiyo misaada ya Wazungu imebadilisha maisha yao!

[/QUOTE]
 
Umewahi kufika Malawi? ..... usingesema hayo.
 

Mkuu unaongea hayo maneno upo serious au unataka kufurahisha baraza?

 
tuwekeeni hiyo article ya hamza johari alliyomjibu fatma karume ili tupate ilimu na sisi
 
Mkuu unaongea hayo maneno upo serious au unataka kufurahisha baraza?

Nafikiri hilo swali nikuulize wewe unaesema "hatutaki misaada" wakati ukweli ni kwamba inahitajika na inasaidia watu!
 
Duh! uchumi wenyewe wa kupigana vita ukowapi? vita ya Uganda tu zaidi ya miaka 30 na bado tunadaiwa na akina Ghadafi ingawaje wameshakufa,
Duh! sina la kusema!
 
Tanzania is already savouring the prospect of energy wealth with the announcement in February that Norwegian oil group Statoil and US company ExxonMobil had together discovered there a large natural gas field with reserves estimated at 140 billion cubic metres.
Now it also wants a slice of anything discovered near its shores in Lake Malawi.
"The lake historically belongs to us. Malawi must be firm on this and not relent," political pundit and rights activist Billy Mayaya told AFP, in an unforgiving tone that reflects the national mood on this issue.
"No inch of the lake must be given away... even at gunpoint," he said

sasa wtz inabidi jeshi lijipange maana msela huyo kasema hata cha mguu wa kuku hawatatoa hata inch moko werawera 🙂
chanzo...cha habari..Malawi banks on history to cling to lake in Tanzania dispute - Times LIVE
 
[/QUOTE]


Hivi unafahamu malighafi zimetoka wapi? Hapo kwenye rangi!



Nafikiri hilo swali nikuulize wewe unaesema "hatutaki misaada" wakati ukweli ni kwamba inahitajika na inasaidia watu!


Je, unafahamu ni asilimia ngapi ya pesa za misaada zinarudi zilikotoka? Ukweli ni kwamba tusiposaidiwa tutaendelea mapema zaidi. Hii tabia ya kutenga bakuli haitalinusuru hili taifa. Nchi ina uranium, mafuta, gas na utalii ambao huwezi kuupata kokote kule duniani ati bado ipo kwenye dunia ya tatu .... .... does that make sense to you?

Au wewe unaiamini hii sarafu hapa chini .... .... ...







Au unawaamini hawa hapa chini .... ..... ..... walinde mali zako ....




Diamond quits over rate fixing scandal


Tanzania ikitaka kuendelea isitishe misaada yote mara moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…