Mkuu huo ni msamiati ulikuwa unatumiwa na wahenga " kuwa na kismati" ni sawa sawa na nyota yako ya bahati kung'aa na mambo yako kunyooka.Kismart ndo kitu gani mkuu. Au ki simu kikubwa Kama vile iPhone, itel na infinix. Au mi nimepitwa na wakati!!
Hivyo awamu hii ya 6 chini ya Mama mambo yamenyooka....yanenda bila shida