Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,498
- 37,792
Timu ya Taifa ya wanawake U17 Serengeti Girls imefanikiwa kufika hatua hiyo baada ya kutoka sare ya goli 1-1 dhidi ya Canada katika michuano inayoendelea Nchini India.
Matokeo hayo ya Kundi D yameiwezesha Tanzania kuwa na pointi 4 na kushika nafasi ya pili nyuma ya Japan iliyoongoza kundi kwa kuwa na pointi 9, huku Ufaransa na Canada zikiaga mashindano.
===========
Leo afe kipa afe beki ushindi au Sare inatupeleka Robo fainali.
=======
15’ Canada wanapata bao kupitia kwa Amanda Allen
36’ Tanzania wanasawazisha kupitia kwa Veronica Mapunda
70’ Tanzania 1 - Canada 1
85’ Tanzania 1 - Canada 1
88’ Tanzania 1 - Canada 1
Dakika 6 zimeongezwa
Mpira umekwisha, Tanzania (Serengeti Girls) imefuzu kucheza hatua ya Robo fainali dhidi ya Colombia.
Matokeo hayo ya Kundi D yameiwezesha Tanzania kuwa na pointi 4 na kushika nafasi ya pili nyuma ya Japan iliyoongoza kundi kwa kuwa na pointi 9, huku Ufaransa na Canada zikiaga mashindano.
===========
Leo afe kipa afe beki ushindi au Sare inatupeleka Robo fainali.
=======
15’ Canada wanapata bao kupitia kwa Amanda Allen
36’ Tanzania wanasawazisha kupitia kwa Veronica Mapunda
70’ Tanzania 1 - Canada 1
85’ Tanzania 1 - Canada 1
88’ Tanzania 1 - Canada 1
Dakika 6 zimeongezwa
Mpira umekwisha, Tanzania (Serengeti Girls) imefuzu kucheza hatua ya Robo fainali dhidi ya Colombia.