yes uchumi ulikuwa ni mzuri,services deliveries kwa wananchi zilikuwa above average,zahanati,shule,mahakama,n.k.ufanisi ulikuwa mzuri mno,unamaliza kidato cha nne unapewa form maalum ya kujaza wapi future yako itakuwa,combinations za kidato cha tano unazozitaka na kuwa na uwezo nao,mwishoni mwa 80s ninaingia pale Mkwawa CNE ni evergreen,mabweni safi kuanzia Magembe hadi Shaaban Robert W,CHAKULA SAFI NA MWISHO WA MWEZI UNALIPWA KICHELE ,yes maisha yalikuwa safi kwa familia nyingi,tatizo kubwa lilikuwepo ni mawasiliano,barabara zilikuwa nyingi hazipitiki hasa kipindi cha masika,hasa mikoa ya kusini but in general nchi ilikuwa na adabu ,uwezo wa kutembea alfajiri ya saa 8 kutoka magomeni kondoa(DDC sikinde) hadi kinondoni shamba ulikuwepo uhakika wa asilimia 99 utafika salama.yeah personal iam mic yale maisha.poleni for this generations sijui ijao.