Lakini sasa naona kuna mengine ya kushangaza; tunafuja mali ili kwa macho tuonekane tupo vizuri kuliko uhalisia....
Wakati hatuna ambulance za kutosha wala mabasi ya usafiri (case in point mwendokasi Dar na fujo za Juzi) bado tunaonyesha tuna mabasi ya kutosha na mengine yakiwa matupu yanazunguka mitaani kabla na baada ya kampeni
Wakati kuna Taasisi na wanafunzi wanakosa Uniforms bado tunaonyesha umaridadi wa kuweza kuvisha...
Kwakweli huyo aliweka irekodi mpaka Leo haijavunjwa rekodi yake.
Ulikuwa hukatizi mita 50 bila kukutana na utitiri wa mabango ya
Imani
Upendo
Miujiza.
Samia amejaeibu lakini hajafikia kiwaango Cha Imani Upendo Miujiza