Inasikitisha kuona tanzania ya leo viongozi wake uwezo wao wa kufikiria umegota ukingoni, hawatambui majukumu yao, na wala jinsi ya kutimiza wajibu wao.. Zaidi ni kuangaliana usoni na kulindana kwa manufaaaa ya watu wachache...huku mwananchi wa kawaida akiendelea kuteseka...afu tunaambiwa utawala bora.