Mpira ni saa tisa kamili kulingana na ratiba ya supersport japo haitaoneshwa kwenye channel za supersport. Itaoneshwa TBC1 na kwa wasio na ving'amuzi ni tbc taifa itatangazwa. Kwa mujibu wa taarifa ya habari za michezo jana usiku tbc1.
ATDHE | Tanzania vs Moroccokwa tusio Bongo wapi tunaweza kutazama hili game? Nipeni links.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Taifa Stars.
linki ilo hapo Rubakwa tusio Bongo wapi tunaweza kutazama hili game? Nipeni links.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Taifa Stars.
aksante sana mkuu kitu kiko very clear