hii timu ni majanga kama ebola tu,kila timu zinatupiga tu,na bila ubabaishaji kuisha hususani wa viongozi wetu wa mpira wa mguu.Tatizo sio kocha wachezaji ndio hamna,na vyombo vya habari kwa kutoa misifa ya kijinga .na tupigwe tu
Taifa Staz inatia kinyaaa kabisa, huyu Kocha ndo simsomi atakidogo, ata Burundi inatugeuza inavyotaka!!!!!!
(kupigwa2-0 na Burundi ni aibu kwa taifa letu)
Tatizo la watanzania ni kule kutokubali ukweli. Wenzetu kwa miaka mingi sasa wanachagua wachezaji wa kuliwakilisha taifa kutokana na vipaji. Sie hapa Bongo bado tumelalia uchawi na ndiyo maana hawa wachezaji hawafundishiki. Hata aje kocha gani nina hapa huyo kocha ataonekana hajuwi alifanyalo kwa hawa wachezaji wa kimsukule. Pandisha dege bovu na kuwapotezea bahari Hindi tumewachoka.
Taifa Staz inatia kinyaaa kabisa, huyu Kocha ndo simsomi atakidogo, ata Burundi inatugeuza inavyotaka!!!!!!
(kupigwa2-0 na Burundi ni aibu kwa taifa letu)
Usishangae mkuu, si umeona Burundi ilivyocheza? Ule ndiyo mpira wa akili na vipaji. Uchawi katika hii karne ya 21 ni ujinga. Eti Ngassa na wasanii wenzake ndiyo wanatuwakilisha, tunataka nini jamani?
hii timu ni majanga kama ebola tu,kila timu zinatupiga tu,na bila ubabaishaji kuisha hususani wa viongozi wetu wa mpira wa mguu.Tatizo sio kocha wachezaji ndio hamna,na vyombo vya habari kwa kutoa misifa ya kijinga .na tupigwe tu